Pumbaff, na ubinadam na utu upo wapi? Kwahio chakula chako hali mpka akukidhie haja yako? Hata wanyama hawafanyi hivo, ama yeye ni mtumwa wako wa ngono? Kumbuka nae ni bint wa mtu kama wewe na hio kakufanyia ni ajili ya ugumu wako na ilikua akufanyie zaid ya hio nyau wewe
Wapo bila shaka wanaitwa khunthaa, kiislam kuna baadhi ya sheria lazima jinsia ya mtu husika ifahamike kama vile mirath, sasa hapo ndo itaangaliwa atumia ipi kuendea haja ndogo? Na kuna ambao wanatumia zote ila hao ni mmoja kwenye makhunthaa mia.
Inategemea na mazingira ila nakushaur ufungue mgahawa kwa kila mke mmoja awe na mgahawa wake, hii ni coz mtaji mdogo na pia itasaidia kwenye masuala ya kula kwa family
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.