Mfanyakazi wa kuuza chipsi anahitajika

Mfanyakazi wa kuuza chipsi anahitajika

Wenye hekima zao wote, wanaitumia facebook kwa ajili ya connection tu na watu wengine, lakin ukifuatilia yanayo endelea facebook ni utoto mtupu, ndio maana nikapiga mfano huo, lengo ilikuwa kumkosoa ndugu aliyeleta utoto ktk mada inayohusu utafutaji wa maisha.
Sasa upuuzi wa mjibu hoja ndio ulionipelekea kumjibu hivyo, na wapuuzi wa aina ile hawakuwepo hapa jamii sasa hivi wameingia humu kwa kasi na kusumbua watu ktk forum hii muhim, ambapo humu kuna watu wanaendesha maisha kupitia humu.
Mkuu Facebook watu wengi wanaitumia kibiashara kuliko huo utoto unaosema. Kuna wengi sana wanafanya biashara huko huwezi kuamini. Mitandao ni sehemu ya kazi na kutengeneza hela inategemea na matumizi yako.
 
Wenye hekima zao wote, wanaitumia facebook kwa ajili ya connection tu na watu wengine, lakin ukifuatilia yanayo endelea facebook ni utoto mtupu, ndio maana nikapiga mfano huo, lengo ilikuwa kumkosoa ndugu aliyeleta utoto ktk mada inayohusu utafutaji wa maisha.
Sasa upuuzi wa mjibu hoja ndio ulionipelekea kumjibu hivyo, na wapuuzi wa aina ile hawakuwepo hapa jamii sasa hivi wameingia humu kwa kasi na kusumbua watu ktk forum hii muhim, ambapo humu kuna watu wanaendesha maisha kupitia humu.

Mambo yanabadilika kila siku zinavyokwenda labda huo utoto unaosema wewe haukuwepo humu kipindi hicho kwa sababu tu, wanachama wenyewe walikuwa wachache ukilinganisha na sasa halafu maisha tunayoishi huko mitaani ni mfano wa maisha tunayoishi kwenye hii mitandao ya kijamii huwezi kuwakwepa watoto, huwezi kuwakwepa machizi (majuha), huwezi kuwakwepa matapeli n.k., kwa hiyo zote hizo ni changamoto lazima uzikubali na ujue namna ya kukabiliana nazo!
 
Nilikuwa namjibu yule ambae anaeleta dharau ktk huu uzi ambao muanzilishi anaomba msaada wa kutafuta mtu wa kazi, halafu wengine wanajibu kwa kuleta utoto ktk jambo muhim km hilo linalo husu utafutaji.
Angalia mtu anavyo jibu ktk kuchangia, unamchukuliaje mpuuzi km huyu:-

"NIPO TAYARI mashariti uniajir, unikatie bima, mimi na mke wangu, bibni yangu na mbwa wangu!"
Sory mkuu ilikua sijakuelewa

Sent from my HUAWEI RIO-L01 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom