Tecno Y3+ inauzwa kama spare.

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
May 24, 2013
3,564
1,989
Imetumika kwa miezi 4; haijawahi kufunguliwa, haisomi line kwa sababu 'iliflashiwa', naiuza kama spare kwa Tsh 25,000/= tu zaki Tanzania, nipo Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom