hapa inshu siyo vyeti au uhalali watu wanadai uhuru wa kiuchumi hata kama waliiba inatosha sasa nikujenga nchi upya na kama wewe mzalendo wa kweli kupinga hili ni vigumu.....
na kama hapa isipo wezekana je tukiamua 2020 upinzani ushike dola ni njia vipi watafanikisha hili uzalendo sasa hivi kwanza
wakuu wa idara zote pamoja na kiongozi mkuu THE BOLD itifaki imezingatiwa ......
samahani sana wakuu hivi siku moja mnaweza kuuleta uzi unao elezea south africa historia yake kwa mapana juu ya mwaka 1922 na 1994
> MANDELA kutohusika kwenye sarafu ya AS kama ilivo tz nyerere anavo ng'aa kwenye...
kabla sija uwendea huu uzi nakushukuru sana mkuu kuleta huuzi tena inabidi niache hata kula nipae nao[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
lakini haina shida kutokana na hilo neno "ambaye" inamaana kama hahusiani na chama hahusiki kwenye kikao hivyo kuwa makini kutafsiri sheria na ndoomaana hakuteuliwa tu watu washasoma wakajua nini kitaendelea baada ya hapo
acha ujinga uwanja wa mashujaa na uwanja wa majengo hivi unajua hizi sehem vizuri....
na katika shughuli zote za kiserikali hua zinafanyika mashujaa na sio majengo kwasababu majengo uko rounded tofauti ma mashujaa na kama ulisha hudhuria hafla nyingi uwanja wa majengo utaona muda wa kutawanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.