Majira, Habari Leo na MWANANCHI hii adhabu mliotupa leo sisi Wasomaji wenu mtatupoza na nini?

Inategemea umakini wa mchukua taarifa kutoka chanzo cha kwaza kama wakati taarifa inatolewa alikuwa anachat badaye itabid aulize kwa mwenzake afu kwa kuwa hawaaminian bas anajiongezea namba zake
 
Nadhani sio sawa kufikia conclusion yoyote bila kusoma contents za habari hizo. Inawezekana pia kukawa na maelezo yanayoweza kutoa mwanga kwa nini heading imewekwa hivyo.

Keyword: "Perspective"

Hivi hujishtukii kuwa hapa umeandika Upumbavu / Upopoma usiovumilika na Great Thinkers tuliotukuka kabisa kama Sisi? Hivi Professionally kabisa unajua maana au dhana nzima ya Headlines hasa katika Magazeti? Kwani kama unajua kabisa huna hata angalau a,b,c ya Journalism kwanini usinyamaze tu ili uelimike kupitia kwa Manguli wa hiyo Tasnia kuliko kuja na huu Upuuzi / Upupu wako?

Naomba nikuachie hili swali ambalo kama ukiweza au ukipata muda nitashukuru endapo utanijibu. Hivi umeenda nyumbani kwa Mtu halafu upo tu Getini unaona kuna uchafu halafu umefunguliwa Geti umeingia ndani tena kwa pale nje unakutana na uchafu tena umezagaa na unanuka unadhani utapata taswira gani ya ndani ya hiyo nyumba hasa kimandhari?

Hapo hapo ulipo sasa hivi mtafute Mdau yoyote wa Habari kisha muulize hivi Headlines za Magazetini na Contents za Habari ipi ambayo huuza na ndiyo inamvutia Mtu kuingia mfukoni kutoa Pesa yake na kulinunua hilo Gazeti? In short umetetea kitu cha Kijinga sana na kisichovumilika Kitaaluma.

Siku zingine jifunze kufikiri tafadhali.
 
Kwanza cjakuelewa,waliofaulu kidato cha tano!!!!!,,au waliofaulu kidato cha nne kwenda cha tano..……
 
Kumbe na ndiyo maana hata Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu Mzee Mkapa huko nyuma alishawahi kuwatukana kwa kuwaambia ni Wapumbavu / Mapopoma. Wengi hiyo siku alipowatukana hivi tulidhani kuwa huyo Nguli wa masuala mazima ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano Rais Mstaafu Mkapa aliwaonea au aliwakose adabu lakini kwa huu muendelezo wao wa Upupu / Upuuzi sasa nimeanza kumuelewa Kindakindaki Mzee Mkapa.
hata mwaka jana kwenye kikao cha afrika mashariki aliwaongelea sana waandishi wa habari
 
binafsi waandishi wengi wote wa habari bao ni ndugu, rafiki au watoto wa rafiki zangu wana Sifa zifuatazo:-

1. form four wote walitoa dv iv za 30's

2. wameungaunga cert na dip za hapa na pale

3. hawana mikataba, wanasubiria press tu wakapewe maji na biscuits

nawashauri waige BBC, DW

Umemaliza kila kitu Mkuu.
 
binafsi waandishi wengi wote wa habari bao ni ndugu, rafiki au watoto wa rafiki zangu wana Sifa zifuatazo:-

1. form four wote walitoa dv iv za 30's

2. wameungaunga cert na dip za hapa na pale

3. hawana mikataba, wanasubiria press tu wakapewe maji na biscuits

nawashauri waige BBC, DW

Umemaliza kila kitu Mkuu.
 
Kwanza cjakuelewa,waliofaulu kidato cha tano!!!!!,,au waliofaulu kidato cha nne kwenda cha tano..……

Rudia kusoma tena Uzi wangu halafu utagundua kuwa Wewe ndiyo mwenye matatizo Sugu ya Upungufu wa uelewa.
 
Naiamini JF kuliko hayo magazeti ya vibahasha...halafu utakuta kuna kundi linajiita wahariri eti hadi wanafungia habari za Makonda...
 
Hapo patamu mimi mwenyewe nimejiuliza kidato cha tano? kukosoa wenzako wakati kosa lako ndilo baya tena linapotosha jamii

Nimekosea wapi? Weka hapa hilo Kosa ili lionekane tafadhali otherwise nyamaza tu. Muwe mnasoma uzi Kiumakini na siyo kukimbia kuleta Chuki zenu kwa GENTAMYCINE wakati kumbe kiuhalisia kumbe nyie mliousoma ndiyo mmekengeuka / mmepotoka.
 
Nimekosea wapi? Weka hapa hilo Kosa ili lionekane tafadhali otherwise nyamaza tu. Muwe mnasoma uzi Kiumakini na siyo kukimbia kuleta Chuki zenu kwa GENTAMYCINE wakati kumbe kiuhalisia kumbe nyie mliousoma ndiyo mmekengeuka / mmepotoka.
Mjanja ume edit uliandika waliofaulu kidato cha tano badala ya 'waliofaulu kwenda kidato cha tano' angalia quote yangu ya mtu wa #40

GENTAMYCINE said:
Gazeti la Majira.... Waliofaulu Kidato cha Tano ni 93,000
Gazeti la Habari Leo.... Waliofaulu Kidato cha Tano ni 96,000
Gazeti la MWANANCHI.... Waliofaulu Kidato cha Tano ni 98,000

Vyombo vya Habari na Waandishi wa Habari wa Tanzania mkiwa mnadharauliwa msiwe mnachukia kwani kiukweli huwa mnajitakia wenyewe na nadhani sasa ile Sheria ya Vyombo vya Habari inabidi ianze kufanya Kazi haraka.

Tumewachoka.
 
Hivi hujishtukii kuwa hapa umeandika Upumbavu / Upopoma usiovumilika na Great Thinkers tuliotukuka kabisa kama Sisi? Hivi Professionally kabisa unajua maana au dhana nzima ya Headlines hasa katika Magazeti? Kwani kama unajua kabisa huna hata angalau a,b,c ya Journalism kwanini usinyamaze tu ili uelimike kupitia kwa Manguli wa hiyo Tasnia kuliko kuja na huu Upuuzi / Upupu wako?

Naomba nikuachie hili swali ambalo kama ukiweza au ukipata muda nitashukuru endapo utanijibu. Hivi umeenda nyumbani kwa Mtu halafu upo tu Getini unaona kuna uchafu halafu umefunguliwa Geti umeingia ndani tena kwa pale nje unakutana na uchafu tena umezagaa na unanuka unadhani utapata taswira gani ya ndani ya hiyo nyumba hasa kimandhari?

Hapo hapo ulipo sasa hivi mtafute Mdau yoyote wa Habari kisha muulize hivi Headlines za Magazetini na Contents za Habari ipi ambayo huuza na ndiyo inamvutia Mtu kuingia mfukoni kutoa Pesa yake na kulinunua hilo Gazeti? In short umetetea kitu cha Kijinga sana na kisichovumilika Kitaaluma.

Siku zingine jifunze kufikiri tafadhali.
Asante sana mtukufu great thinker
 
Gentamycine, we si ni journalist pia?

Jamani nachoka sasa kila siku kurudia tu kuwaambieni Kazi yangu na leo nazisema kwa mara ya mwisho na sitaki niambiwe nafanya Kazi zenu hizo. GENTAMYCINE elimu yangu ni ya darasa la Saba ( 7 ) tu pekee na sikubahatika kwenda sijui hadi Kidato cha Nne na cha Sita kama nyie achilia mbali University. Isipokuwa tu ni kwamba nimebarikiwa mno Ufahamu na Akili nyingi na za Maajabu kabisa na Mwenyezi Mungu.

Najishughulisha sana na.....

  1. Uvuvi
  2. Ufugaji
  3. Ukulima
Nimemaliza.
 
Hawa KOMBI ZILIGOMA mi nawajuaga hivyo a.ka Failure. Skuli walikuwa wanapiga chabo ikatokea unabadlisha jibu wao walisha copy wataenda ku paste hivyo hata jina lako wanapaste kwao. Hapo kuna mmoja amewauza akabadilsha baadae. Kama hamniamini sikieni KUNA MOJA LA UKWELI. Thats my proof
 
Back
Top Bottom