Recent content by Ryaro wa Ryaro1233

  1. Ryaro wa Ryaro1233

    Kulipwa mshahara wa Ubunge huku ukiwa huna sifa kikatiba ya kuwa Mbunge siyo uhujumu uchumi?

    Mtoa mada uko sahihi lakini nchi hii kwa sasa haijulikani tunaamini Kwenye uhalali or Uharamia. Ni kama viongozi wetu wamelogwa na mchawi amekufa kabla kuwazindua. Angalia Katiba ndio Sheria mama ya nchi lakini Inachangaza Spika anajiapiza Kulinda Haramu. Kwa ufupi Kwa sasa Hatujui tunaongozwa...
  2. Ryaro wa Ryaro1233

    WEF yamtaja Mkurugenzi TWAWEZA, Aidan Eyakuze, miongoni wa watu 50 wenye ushawishi na wanaohamasisha mageuzi ya kiutawala

    Twaweza Mbona Walikubali Matokeo Siku Nyingi. Nadhani Kwa sasa wapo wapo tu ili Tonge liende Kinywani.
  3. Ryaro wa Ryaro1233

    Serikali pitieni upya Sera ya 'Elimu Bure', ikiwezekana ifutwe kabisa

    Elimu Bure Ilienda na Mwl. Nyerere, Zilizobaki ni Siasa tu ndio Zinawagharimu Watoto wetu. Nikushauri tu Utafute Hera Watoto Wasome Shule za Maana
  4. Ryaro wa Ryaro1233

    Halima Mdee na wenzake 18 wapanga kuihujumu BAWACHA, washitukiwa

    Shida sio Wamama - 19, Tatizo and Shida ya Nchi Hii ni CCM.
  5. Ryaro wa Ryaro1233

    Vyama vya Upinzani jirekebisheni kwa hili haraka iwezekanavyo

    So what? CCM ilishakufa siku Nyingi Kilichobaki ni Uniform, Ushawishi ni Sifuri.
  6. Ryaro wa Ryaro1233

    Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

    Utatawaliwa wewe na Utashikishwa adabu wewe. We're in the same boat don't shout brother... Wote tunakinywea Kikombe cha Watawala.
  7. Ryaro wa Ryaro1233

    Museveni: Nitaondoka tu iwapo kuna mtu wa maana nitakayeona naweza kumuachia Uganda

    Rubbish and you don't deserve to be here. Mawazo ya Kuburuzwa na Kutawaliwa kama Kondoo bila Kuoji na kutojitambua kifikira. Safari bado ni Ndefu kama taifa litakuwa na Mawazo haya Mgando. Daaah! sijui hata wewe ni wa jinsia gani! Fikiria kama Mwanaume Unayetamani hata siku moja na wewe ufike...
  8. Ryaro wa Ryaro1233

    Simiyu: Mkuu wa Mkoa apiga marufuku tabia ya Madiwani kuazimia kuwafukuza Watumishi bila ya sababu za msingi

    Kwa sasa Hakuna Tofauti ya Mtumishi wa Umma na Mtumishi wa CCM. Kwa Maana Watumishi wote wa Umma ni Makada wa CCM so ni vigumu kuwatofautisha Kimajukumu. Hakuna tofauti yoyote maana wote ni CCM. Kwa Maneno Mengine Wengi sekta binafsi na wasiokuwa na ajira rasmi wako upande wa pili na ndilo kundi...
  9. Ryaro wa Ryaro1233

    WARIOBA asema kweli - Hakuna atakayeweza kumfunga Paka kengele

    Mbona hadi sasa hakuna wa kumfunga Paka kengere. Tulishafika kitambo ndo Mnaligundua hili. Ile Movie Inayoendelea Uganda kwa Sasa ukiingalia na Kuifuatilia kwa Umakini Utagundua Haitofautiani ni ile ya 28 October, 2020.
  10. Ryaro wa Ryaro1233

    Vijana wa CCM mnazeekea kwenye corridor za Lumumba. Vijana wa upinzani wanazidi kulamba vyeo. Mpo?

    Inauma Sana yaani Wafia ChiChiem Wanalambishwa Matapishi ya Maneno matamu yasiyokuwa na Matunda huku Vijana shupavu toka upinzani wanalamba DUME...
  11. Ryaro wa Ryaro1233

    Ushawahi kujibiwa majibu ya mkato na mpenzi wako?

    Nimeipenda Sana....Daah!!! Good advice Keep it, Bongo kumbe kila kitu kina suluhisho...
  12. Ryaro wa Ryaro1233

    Wanaopita na kushukuru baada ya kushinda uchaguzi, wanatucheleweshea maendeleo

    Hayatuhusu Ngoja Wale Nchi Maana hawana Uchungu wowote na Nchi Hii. After all hatukuwapigia kura " Walijichagua".
  13. Ryaro wa Ryaro1233

    Shughuli za bunge la DRC zimeahirishwa kwa muda usiojulikana, baada ya kikao kukumbwa na ghasia

    Ni Upuuzi tu Kila Kitu Mbeligiji wakati hata huko ubelgiji Mamazenu hawakuwai Kupafikilia. Itakuwaje umwite mwenzako mbelgiji wakati unajua Kilichompata na ilikuwa kukoa uhai wake toka kwa Wauwaji waoga.
Back
Top Bottom