Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

Naomba mawazo yenu.

Wakati joto likizidi kupanda kwamba ni Mbunge gani ataukwaa Uwaziri baada ya uteuzi uliofanywa Jana na Rais Magufuli kwa kumteua Hamfrey Polepole na hivyo kuongeza joto na pressure zaidi ya Baraza la Mawaziri, hebu tutupitie jicho nafasi aliyokuwa akiishikilia Polepole!

Mimi kwa mtazamo wangu nawaona watu wawili wana nafasi kubwa ya kushika/kuteuliwa kuvaa viatu vya Polepole! Na si wengine, ni David Kafulila au Paul Makonda. Wewe unampa nafasi kubwa Nani Kati ya hawa wawili!?

Ahsante. Nomba mawazo yenu.
 
Baada ya Rais Magufuli kumteua Humphrey Polepole kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nafasi yake ya Katibu Itikadi na Uenezi ndani ya CCM ni rasmi sasa uko wazi kwani mheshimiwa Rais alishaweka utaratibu wake kwamba viongozi hawawezi kuvaa kofia mbili katika uongozi.

Taarifa zinazorindima katika magrupu ya wanaccm na UVCCM ikiwemo ni kwamba nafasi hii ya Katibu Uenezi na itikadi unaenda kutwaliwa na aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda.

Nawasilisha
Itachukuliwa na P. Mayala
 
Tangu ateuliwe Polepole kuwa Mbunge kumekuwa na minongono ya kuwepo mabadiliko ya nafasi yake katika sekretarieti na wengine wakieleza kuwa Polepole ataendelea kuwa Mbunge na Katibu Mwenezi na wapo wengine wakihisi mabadiliko ya sekretarieti yatatokea na hayataishia kwa Polepole tu.
 
Wamefanya kuongezea posho na mshahara na v8..ila komred ndo mwenezi wetu😂😂
 
Ndio mana CCM tutatawala miaka 100 ijayo
Wapenzi wa CHADEMA wanaijadili CCM,na kuionesha njia ya kuelekea pazuri zaidi ya sasa.
Utatawaliwa wewe na Utashikishwa adabu wewe. We're in the same boat don't shout brother... Wote tunakinywea Kikombe cha Watawala.
 
Back
Top Bottom