Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Endapo mtu atalipwa mshahara na posho Kama Mbunge huku kikatiba akiwa Hana sifa ya Ubunge awezi kushtakiwa kwa kosa la uhujumu uchumu pale atakapoingia kiongozi mzalendo na anayesimamia katiba?
Kama haiwezekani kushtakiwa kwanini watumishi wa Umma wanaokosa sifa zakuendelea kuwa watumishi kwa mujibu wa katiba na sheria wasiendelee kulipwa posho na mishahara pale katibu mkuu kiongozi na hazina watakapojisikia kuwalipa?
Ni sahihi kila kiongozi akawa na mamlaka yakuelekeza matumizi ya fedha za umma hata Kama Kuna ukiukwaji wa sheria na katiba?
Kama haiwezekani kushtakiwa kwanini watumishi wa Umma wanaokosa sifa zakuendelea kuwa watumishi kwa mujibu wa katiba na sheria wasiendelee kulipwa posho na mishahara pale katibu mkuu kiongozi na hazina watakapojisikia kuwalipa?
Ni sahihi kila kiongozi akawa na mamlaka yakuelekeza matumizi ya fedha za umma hata Kama Kuna ukiukwaji wa sheria na katiba?