EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Katika harakati za mahusiano, kuna kile kipindi mtu hua unapitia, unampenda mtu kweli kweli. Unaumia sana kwa mambo anayokufanyia lakini yeye hajali.
Unamuona yupo Online lakini hajibu text na wala hajali. Katika kipindi hicho, mtu unajikuta muda mwingine unamuandika sms ndefu kweli huyo unayempenda ukionesha hisia zako na namna anavyokuumiza. Lakini anakujibu shortly "poa" au hakujibu kabisa.
Je, umewahi kujibiwa jibu gani ambalo lilikuumiza ama kukukera mara baada ya kujipinda kumtumia sms ndefu unayempenda?
"Cheers kwetu sote ambao siku hizi hatupotezi tena hamu ya kula kisa kuachwa au kuachana. Tunapiga msosi like nothing Happened!"
Unamuona yupo Online lakini hajibu text na wala hajali. Katika kipindi hicho, mtu unajikuta muda mwingine unamuandika sms ndefu kweli huyo unayempenda ukionesha hisia zako na namna anavyokuumiza. Lakini anakujibu shortly "poa" au hakujibu kabisa.
Je, umewahi kujibiwa jibu gani ambalo lilikuumiza ama kukukera mara baada ya kujipinda kumtumia sms ndefu unayempenda?
"Cheers kwetu sote ambao siku hizi hatupotezi tena hamu ya kula kisa kuachwa au kuachana. Tunapiga msosi like nothing Happened!"