Sijasoma Mpaka Mwisho lakini bandiko lako seems umeandika rubbish... Hauna lolote la kuwashawishi watanzania kuhusu hii idea yako... Uchaguzi /uchafuzi uliomalizika umeangukia njia yako unayohita numba mbili whether you like or not....Endelea kujifariji...
Upeo wako ni Mkubwa sana tena Sana. Upinzani nchi hii ndio sasa umefika sehemu sahihi kama tuonavyo . Nasema wamefikia sehemu sahihi maana wamegundua wanaeshindana nae ni mtu/kikundi ya watu gani. Kuna mbinu watakuja nayo nadhani mazingaombwe waliyofanyiwa hayatajirudia. mwisho wa siku tuombe...
Njoo Kasulu Kigoma Bars kama "Mbashara and Top ten," furaha hadi raha...Jamani kama hauna pesa ni wewe tu wengine life kama kawa...Karibu Kasulu-Kigoma tushare raha na Warudi plus Wakongo. Jamani Kigoma Raha....Starehe ilianzia Kigoma.. Anza leo Ijumaa hadi Jumapili njoo ujionee ninachokiandika...
Ni Kipi Kinakufanya unatoa conclusion ya Kufikirika kama hii.. So Uchaguzi huru na haki unajulikana mara tu baada ya wapiga kura kujiandikisha...Je wasimamizi or wapigakura wakikimbia na masanduku ya kura kabla ya kuhesabiwa kama ambovyotumeshuhudia chaguzi zilizopita... Tuambie msimamizi wa...
Mleta Mada ni mzushi na inaonekana anatoa comment zisizo na mashiko. Naona kama anafanya kampaini vile while kila mtu anajua kinachoendelea kwenye nchi hii. Maovu wafanyiwe wapinzani na tuhuma ziende kwa wapinzani- Shame on you ndugu.....Tuambie Mawazo (RIP) ambaye hayupo tena na aliyelawitiwa (...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.