Najaribu kuuliza hilo swali. Natafakari dhamana ya serikali na viongozi wetu kwenye hii vurumai na najaribu kuiangalia wajibu wa kuwajibika(Responsibility) naona giza.
Yaani kwamba zoezi la maandalizi ya uchaguzi kwa hatua za awali kabisa serikali kufanya figisu ya kutoa tarehe kwamba ilikuwa ni bure na hakukuwa na hujuma?
Kwamba figisu za kutunga kanuni kukosa uwazi na kuwekwa mitego mingi kiasi cha wadau kulalamika katika hatua za aswali kwamba hakukuwa na nia ovu?
Kwamba Mh Rais kuzungumza na watendaji wa kata na mitaa nchi nzima hakukuwa na azma fulani?
Kwamba zoezi la kuchukuwa fomu, kujaza na kurejesha na mizengwe iliyotokea kwa wapinzani iwe ni bure na hakukuwa na azma ya vurumai?
Kwamba Kutumika kwa watendaji wa kata na mitaa kuvuruga hilo zoezi bila kuchukuliwa hatua yoyote ni bure na serikali kuu haihusiki?
KUWAJIBIKA KWA SERIKALI.
Yani kwamba serikali kwenye hili haiwajibiki kwa umma? haikereki na sintofahamu hii ya vurumai na wala inahisi haiwajibiki kwa yaliyotokea? Nani anawajibika bas?
Eti wanatumika viongozi wa Dini kubeba msalaba wa dhambi hii kusafisha na kumbe wanatumika kuchonganisha watanzania?
Nani awawajibishe watendaji wa kata, halmashauri, wilaya, mikoa, Waziri wa TAMISEMI ? Nani amuwajibishe mwenzake ?
Kwamba juu ya yote , makelele, kujimwambafai kwa serikali juu ya Wanyonge kote kule haioni namna WANYONGE NA MASIKINI HUKO VIJIJINI WALIVYONYANGANYWA HAKi ZAO ZA KUCHAGUA?
UKIMYA WA RAIS MAGUFULI.
Yaani Rais yuko kimya hadi sasa ? Anajaribiwa nani kwenye waJIBU HUU WA SERIKALI KWA UMMA?
Rais anasubiri nini ili awawajibishe wavurugaji au huu ukimya utafsiriwe vipi?
Hivi series yote hiyo ya Uchaguzi wa serikali za Mitaa mwaka 2019 kutoka hatua za awali hadi sasa , serikali ya JPM itakwepa vipi kuwajibika kwa umma kwa matokeo ya uchaguzi huu?
Endeleeni kunyamaza.
Kishada.
Yaani kwamba zoezi la maandalizi ya uchaguzi kwa hatua za awali kabisa serikali kufanya figisu ya kutoa tarehe kwamba ilikuwa ni bure na hakukuwa na hujuma?
Kwamba figisu za kutunga kanuni kukosa uwazi na kuwekwa mitego mingi kiasi cha wadau kulalamika katika hatua za aswali kwamba hakukuwa na nia ovu?
Kwamba Mh Rais kuzungumza na watendaji wa kata na mitaa nchi nzima hakukuwa na azma fulani?
Kwamba zoezi la kuchukuwa fomu, kujaza na kurejesha na mizengwe iliyotokea kwa wapinzani iwe ni bure na hakukuwa na azma ya vurumai?
Kwamba Kutumika kwa watendaji wa kata na mitaa kuvuruga hilo zoezi bila kuchukuliwa hatua yoyote ni bure na serikali kuu haihusiki?
KUWAJIBIKA KWA SERIKALI.
Yani kwamba serikali kwenye hili haiwajibiki kwa umma? haikereki na sintofahamu hii ya vurumai na wala inahisi haiwajibiki kwa yaliyotokea? Nani anawajibika bas?
Eti wanatumika viongozi wa Dini kubeba msalaba wa dhambi hii kusafisha na kumbe wanatumika kuchonganisha watanzania?
Nani awawajibishe watendaji wa kata, halmashauri, wilaya, mikoa, Waziri wa TAMISEMI ? Nani amuwajibishe mwenzake ?
Kwamba juu ya yote , makelele, kujimwambafai kwa serikali juu ya Wanyonge kote kule haioni namna WANYONGE NA MASIKINI HUKO VIJIJINI WALIVYONYANGANYWA HAKi ZAO ZA KUCHAGUA?
UKIMYA WA RAIS MAGUFULI.
Yaani Rais yuko kimya hadi sasa ? Anajaribiwa nani kwenye waJIBU HUU WA SERIKALI KWA UMMA?
Rais anasubiri nini ili awawajibishe wavurugaji au huu ukimya utafsiriwe vipi?
Hivi series yote hiyo ya Uchaguzi wa serikali za Mitaa mwaka 2019 kutoka hatua za awali hadi sasa , serikali ya JPM itakwepa vipi kuwajibika kwa umma kwa matokeo ya uchaguzi huu?
Endeleeni kunyamaza.
Kishada.