Jina: shule ya msingi kambarage
Eneo: kijiji cha mwinyi
Wilaya:urambo
Namba ya simu: 0622156966
Tatizo: nimewasilisha taarifa zote tanesco za kuwekewa umeme Ila mpaka Leo sijawahi waona wakija kupima hii taasisi ya serikali tatizo ni nini wakati nguzo ipo mpaka shuleni.
Toka lini: mwezi wa...
Nina laptop yangu dell latitude kila nikiitumia feni inazingua Kwa Kasi na matokeo yake inachemka sana na kujizima nimejaribu kubadili feni pamoja na heat sink lakini bado inasumbua tatizo ni nini wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.