Mfungulie mradi Wa kufuga mabataa au kuku Wa nyama awe bize na kuku.
Nyingine tafuta nguruwe wakubwaa wawili Wa kuzalisha vitoto.Akipga mzinga unamwambia subiriri vitotoo vikue.Atakuwa anauza kutokona na anachozalisha ndo atume kwao
Kamwe sifundishi hiki.Ntafundishaa maaadili sitaki kuwa mtumwa Jehenamu na sehemu ya laana Kwa vizazi kuanzia kizazi changu mpaka cha tatu duniani maana laana hudumu vizazi vitatu
Hakuna watu smart kama wapangwa kuanzia shule,kimaamuzi na hawalei watoto kuwa legelege.Ukipata mume Wa kipangwa kumpanda kichwani sahau.
Pia ni watu waaminifu sana
Wakisema no ni no kweli unafiki hawana.
Walio wengi hawakimbiii ndoa.
Nakusaiidia .Fikiria Udom imejaa Dodoma kutokana kuongeze Kwa wa.Has a tumefika Idadi ya watu million 80+ je udom itatosha.
Pia ni fursa kiuchumi Mkoa husika inaitwa WIN WIN
Jikite hapa Kwa kina ikibid Google utaelewa vizuri
Mipango ya muda mrefu
Mipango ya muda mfupi
Mipango ya muda Wa kati
Project ya Kilimo cha matunda
Mfano apple unachomeka machipukizi na wewe unakazana kulima tu mazao mengine humo humo mfano mahindi baada ya miaka mitatu unamiliki eka ya apple
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.