Recent content by Ruhusu Mpango wa Mungu

  1. R

    Mapenzi yanaongezeka zaidi tarehe za mshahara tu

    Mfungulie mradi Wa kufuga mabataa au kuku Wa nyama awe bize na kuku. Nyingine tafuta nguruwe wakubwaa wawili Wa kuzalisha vitoto.Akipga mzinga unamwambia subiriri vitotoo vikue.Atakuwa anauza kutokona na anachozalisha ndo atume kwao
  2. R

    Uaminifu ni bidhaa adimu sana Tanzania

    MUAMINIFU kiwango cha juu nipo.Ukipenda sema nikutafutie wawili watatu
  3. R

    Kozi gani bora kusomea wakubwa kwa sasa msaada

    Soma afya alafu tafuta machimbo nje ondoka nchini
  4. R

    Ninatamani kutoka katika nchi hii ya Tanzania

    Safi kama wewe in seremala au fundi ujenzi sema
  5. R

    Thread maalum kukumbushana michezo ya utotoni iliyosahaulika

    MCHEZO WA PIA Kupiga pia kwa mijeredi Funzzo Kuwa na maamuzi magumu
  6. R

    Ukiambiwa uchague kimoja kati ya hizi project za Kilimo utachagua ipi? na why?

    Njombe na Iringa na baadhi kidogo sehemu za Mbeyaunachomeka machipukizi yanaota
  7. R

    Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

    Kamwe sifundishi hiki.Ntafundishaa maaadili sitaki kuwa mtumwa Jehenamu na sehemu ya laana Kwa vizazi kuanzia kizazi changu mpaka cha tatu duniani maana laana hudumu vizazi vitatu
  8. R

    Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

    Hakuna watu smart kama wapangwa kuanzia shule,kimaamuzi na hawalei watoto kuwa legelege.Ukipata mume Wa kipangwa kumpanda kichwani sahau. Pia ni watu waaminifu sana Wakisema no ni no kweli unafiki hawana. Walio wengi hawakimbiii ndoa.
  9. R

    UDOM kuanzisha kampasi Njombe. Kimaadili hii siyo sawa kabisa ktk nchi hii

    Nakusaiidia .Fikiria Udom imejaa Dodoma kutokana kuongeze Kwa wa.Has a tumefika Idadi ya watu million 80+ je udom itatosha. Pia ni fursa kiuchumi Mkoa husika inaitwa WIN WIN Jikite hapa Kwa kina ikibid Google utaelewa vizuri Mipango ya muda mrefu Mipango ya muda mfupi Mipango ya muda Wa kati
  10. R

    Stuka, kila mke/mume ofisini ana bebe wake

    Hii kitu.ukiolewa au ukioa acha zinaa za ofisini.Mpe Yesu maisha.Utayashinda tu haya
  11. R

    Ukiambiwa uchague kimoja kati ya hizi project za Kilimo utachagua ipi? na why?

    Project ya Kilimo cha matunda Mfano apple unachomeka machipukizi na wewe unakazana kulima tu mazao mengine humo humo mfano mahindi baada ya miaka mitatu unamiliki eka ya apple
Back
Top Bottom