BEFORE
JF-Expert Member
- Jun 11, 2023
- 372
- 591
Kwani hawana magonjwa ?Mwisho kabisa hapo. Mbuzi katoliki. Hii biashara hainaga hasara.
Kwani hawana magonjwa ?Mwisho kabisa hapo. Mbuzi katoliki. Hii biashara hainaga hasara.
Hivi ma apple kwa hapa bongo yanalimwa wapi?Project ya Kilimo cha matunda
Mfano apple unachomeka machipukizi na wewe unakazana kulima tu mazao mengine humo humo mfano mahindi baada ya miaka mitatu unamiliki eka ya apple
Njombe na Iringa na baadhi kidogo sehemu za Mbeyaunachomeka machipukizi yanaotaHivi ma apple kwa hapa bongo yanalimwa wapi?
mi ninavyoona ufugaji wa nguruwe ni kama mali akibaKwani hawana magonjwa ?
14. Kilimo cha matunda ya muda mfupi!1. Project ya Ng'ombe wa maziwa
2. Project ya Ng'ombe wa Nyama
3.Project ya Mbuzi wa nyama
4. Project ya Mbuzi wa Maziwa.
5.Project ya Kondoo wa nyama
5. Project ya Kuku wa Mayai
6.Project ya Kuku wa nyama/Kienyeji/Chotara
7.Project ya Ufugaji wa nyuki
8.Project ya kilimo cha uyoga
9.Project ya protein mbadala ya Binadamu au mifugo.
10.Project ya ufugaji Samaki.
11.Project ya uzalishaji wa vyakula vya mifugo
13.Project ya Kilimo cha nafaka
14.Project ya Kilimo cha matunda ya muda mfupi au muda mrefu
15.Project ya Spice na herbals
16.Project ya miti ya Mbao na kuni
17.Project ya Sungura
18.Project ya Kware/ Kanga
19.Projects ya Ducks
20.Project ya Miche ya matunda, mboga na miti mingine.
21.Project ya Petties animals
22.Project ya Nguruwe
Unachagua moja tu na sababu zako tusaidie.
Mkuu, umenishawishi kuhusu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa. Nafikiri unaizungumzia "silage". Inaweza ikagharimu kiasi gani kwa mwaka kuandaa chakula cha ng'ombe watano?Nachagua ufugaji wa ng'ombe wa maziwa.
Kwa sababu sinunui chakula, wanakula majani/nyasi ninazolima na ninahifadhi kwa ajili ya kiangazi na ninatumia gharama ndogo.
Ukiwa mzoefu ni mradi rahisi wenye faida kubwa.
Kwa mkoa wa mtwara misitu ni adimu mno utafugia wapi?Inategema na eneo ila kwa huku kusini katika utafiti wangu ,ningechagua namba 1&2 .
Huku hamna maziwa wala nyama yaani ni dili sana hivyo vitu. Kusini haswa Mtwara
Kirahisi ivoProject ya Kilimo cha matunda
Mfano apple unachomeka machipukizi na wewe unakazana kulima tu mazao mengine humo humo mfano mahindi baada ya miaka mitatu unamiliki eka ya apple
Mkuu, unatumia mbinu gani kuhifadhi? Una mitambo ya kuchakachia ili iweze kukaa muda mrefu bila kuharibika?Nachagua ufugaji wa ng'ombe wa maziwa.
Kwa sababu sinunui chakula, wanakula majani/nyasi ninazolima na ninahifadhi kwa ajili ya kiangazi na ninatumia gharama ndogo.
Ukiwa mzoefu ni mradi rahisi wenye faida kubwa.
KwaniniChagueni vyote lakini project ya nguruwe haifai.
Pia kitimoto wanazaa sana ndani ya mda mchacheHapo ningechagua namba 22. ya kufuga kitimoto tu.
Sababu:
Nyama yake ni burudani kwa wote yani