Ashante kwa maelezo ya kitaalamu , wengine tumeambulia elimu nzuri sana. Ila naomba nisaidie kuelewa mambo yafuatayo
1. Kwa mfumo wa upimaji Tanzania ninavyoelewa umeratibiwa na wizara ya afya kupitia hospital teule, kwanini unaelekeza lawama kwa maabara ya taifa baada ya wizara husika maana...
Leo Nimeiona waziri wa Afya wa Kenya anatoa updates na strategies. Hamna mtu anaweza kuwa na mashaka na data na juhudi za viongozi.
Inatia moyo na inakupa matumaina, that is high level of intergrity Return Of Undertaker,
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mkuu P
Ila ngoja nikuambie, mie sio mchangiaji sana hapa jukwani ila ni msomaji mzuri na moja ya watu ninaosoma kila wanachoandika ni wewe. Ila naanza kuhisi umakini na uwezo wako umetekwa ( upo ila unalazimisha kutotumia). Hizi ni sababu zangu
1. Hakuna proposal ya total lockdown...
Nikweli Mkuu , uwezo wa watu kufikiria na kutafakari mambo umekua duni sana au watu wanaamua kuongea ili kujifurahisha.
Tujiulize wale wenzetu waliolazimisha jana kutoka hospitali, hapo tutafakari siku zamu yetu ikifika.
Hakuna ukweli wowote kuhuse taarifa za wagonjwa ( Zero data...
Maelezo mazuri mkuu, mtoa mada fuata ushauri huu
Kuna tofauti ya loan balance ( outstanding loan ) na disbursed loan amount. Kwenye barua imeonesha loan balance yani salio la mkopo na sio disbursed loan.
Pili yawezekana mkopaji alikua kwenye ucheleweshaji ( arrears) kwa muda flani maana hivyo...
Umeongea kitu kizuri sana mkuu DenooJ
Shida ya taasisi za umma yingi ni kijiona wanayo haki ya kupata taarifa zozote za mwananchi sehemu yeyote na muda wowote., sio sahihi kabisa. Nitatoa mfano kidogo
No 1. Mtumishi wa TRA anaona anayo haki yakuandikia mabenk ili apate taarifa za pesa za...
Muheshimiwa Mwigulu.
Tunaomba kwa kuheshimu uzi ambao wewe umeuanzisha utolee ufafanuzi hapa ili sisi tusioelewa kabisa ambao ni wengi tuweze kueleweshwa na hatimae tuelewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi sana mkuu
Katika mazingira ya kazi ukianza kutafsiri sheria moja moja mwisho wa siku mfanyakazi ndio anaumia.
Ukishakua na tabia za kivivu muda wote unaangalia opportunity za kupata off time. So anachokitaka mleta mada ni tabia ya uvivu
Kwa jinsi anavyoonekana hapo Mkuu ni kuwa anamlazimisha kununua na amemvisha kumuonesha mfano anavyotakiwa kuwa anapokua anafanya biashara
Hivyo had wengine wanashangaa kwa huzuni Ndio maana hata mwenye hiyo ID hana amani
Safari ni ndefu yenye milima na mabonde
Shukrani mkuu Mayalla
Nimefurahi umekua ukisisitiza vuongozi kupimwa afya ya akili mara kwa mara. Hili naliina ni jambo la msingi sababu mtu anaweza kupotezea uwezo wa kufikiria as time goes. Ni wazo muhimu lisilotiliwa mkazo na watanzania kwa sasa but muda unavyosonga umuhimu wa hili suala na...
Shida amesema experience of 5 years. So hapa ndio kwenye shida kwenye hilo tangazo kwa mtazamo wangu.
How can someone with 5 years of experience work for Tsh 800k gross salary
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.