Binafsi sijaielewa hii picha

Binafsi sijaielewa hii picha

Muro anamsifia huyo mama kwa kulipa kodi ya serikakli na alikuwa anawaelimisha hao wafanya biashara umuhimu wa kulipa kodi bila shuruti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hebu kuweni na huruma jamani hawa ni watanzania wenzenu na sio ng'ombe, hichi mnachowafanya hawa wamama sicho mlichoahidi kwenye zile kampeni zenu
 
wakuu mimi binafsi nashindwa kuelewa hii picha na jinsi huyo mdada aliesimama alivoshika tama sijui alikua anamaanisha nini.. kama umeielewa tuelezeeee tuelewe na sisiView attachment 1093972
Ni Tanzania pekee serikali badala ya kuongeza wigo wa vijana kuji ajiri yenyew ndo inaminya.rejea korosho,mazao,viwanda,hata uingizaji bidhaa nchini,
 
Kama Mungu amekujalia maisha flani..yaani unajiweza....ukipata uteuzi wa ukuu wa wilaya awamu hii kimbia sana...
Hivi vyeo vya awamu hii ni kuchuma laana tu....
Mtu anakuja na VX yenye injini V8 na waandishi wa habari, polisi..msafara woote eti wanakuja kumkagua muuza mchicha kama ana kitambulisho cha mmachinga
Uwiii hii ni laana
 
Kwa jinsi anavyoonekana hapo Mkuu ni kuwa anamlazimisha kununua na amemvisha kumuonesha mfano anavyotakiwa kuwa anapokua anafanya biashara

Hivyo had wengine wanashangaa kwa huzuni Ndio maana hata mwenye hiyo ID hana amani

Safari ni ndefu yenye milima na mabonde
Huyu aliyeshika tama hana id ya mzee baba ilihali anauza bidhaa zake.
Sasa anaona akifikiwa sijui itakuaje.

Maana inaonekana huyo msela kama vile anafanya ukaguzi wa watu wenye hizo ID
 
Asee mshambiwa hela hakuna hela! Hela! Kilichobaki hata 100 yako tunaitaka au haujasikia njia kiba-ha imestopishwa kwa muda usiojulikana?

Mkuu anakuja na Shangingi la Milioni 200+ anakuja kudai kitambulisho cha buku 20 kwa mchuuzi wa mafungu 4 ya mchicha ambao kama akiuza 500 kila fungu haizidi 2000.

Maendeleo hayana chama tupo kwenye raiti traki
 
wakuu mimi binafsi nashindwa kuelewa hii picha na jinsi huyo mdada aliesimama alivoshika tama sijui alikua anamaanisha nini.. kama umeielewa tuelezeeee tuelewe na sisiView attachment 1093972
Hii picha inasikitisha sana,Kodi aliyoichangia akija kuona gari yake Dc anaisikitikia sana,Allah amfanyie wepesi huyo mama katika biashara yake
 
Asee mshambiwa hela hakuna hela! Hela! Kilichobaki hata 100 yako tunaitaka au haujasikia njia kiba-ha imestopishwa kwa muda usiojulikana?

Mkuu anakuja na Shangingi la Milioni 200+ anakuja kudai kitambulisho cha buku 20 kwa mchuuzi wa mafungu 4 ya mchicha ambao kama akiuza 500 kila fungu haizidi 2000.

Maendeleo hayana chama tupo kwenye raiti traki
Hapo fungu moja itakuwa ni mia mbili ama mia tatu,haitazidi zaidi ya iyo hela
 
Wangeuza hayo ma VX ya msafara wa huyo muro wapate mapato ya kutosha badala ya kuhangaisha wauza mchicha!

Hilo VX moja tu ni sawa na mapato ya miaka mitatu ya soko zima!
 
Mungu wangu..... Nimeumia bila kuliona hilo tukio jamani...

Kwanini lakini?
Hii hali mbona iko sana tu leo nimeshuhudia mkulima mmoja ktk soko la mazao mjini Kasulu amenyang'anywa gunia la maharage yamepakiwa kwenye gari na maafisa wa halmashauri kisa hana kitambulisho cha mjasilia mali nimejaribu kuhoji inakuwaje huyu si ni mkulima nikaambiwa mkulima ni kulima na kula tu akishaleta sokoni kuuza eti huo ni ujasilia mali imeniuma sana vijijini raia wa hali za chini wanaonewa sn na hao maofisa
 
Nahisi kilichomsaidia Mkuu ni kua wapo wakinamama pekee hii jinsia nyengine ingekua sheeeeeedah!!
 
Back
Top Bottom