Recent content by Rlechas_3a60

  1. Rlechas_3a60

    Mtu mkubwa anayefuata ni wewe

    Mtu tajiri zaidi katika historia ya dunia alikuwa Mansa Musa kutoka Mali (Mweusi). Mwanamuziki mkubwa wa pop alikuwa Michael Jackson (Mweusi). Mchezaji wa Mpira wa miguu mkubwa alikuwa Pele (Mweusi). Mcheza ngumu za kulipwa mkubwa kabisa alikuwa ni Muhamedi Ali (Mweusi). Golfer kubwa na...
  2. Rlechas_3a60

    Siku hizi simu ni chanzo kikubwa cha ugomvi na kutokuelewana baina ya wapenzi

    1. Uko na mpenzi/mume/mke wako lakini kila mtu yuko busy na simu anatabasamu na simu yake au anacheka na simu yake kila mtu ana mapenzi na simu yake kila mtu ana ipa simu yake muda zaidi ya mpenzi wake. Hii sio kwa wanawake tu wote inawahusu. Kama simu yako ina nafasi kubwa zaidi ya mwenzi wako...
  3. Rlechas_3a60

    UTAFITI MPYA: Jinsi Wanaume Wanavyolizwa Kwenye Magrupu ya Ngono Ya WhatsApp

    DAR ES SALAAM: Dawa ya wanaume wakware wanaopenda ngono na kuchepuka imepatikana kupitia ‘ma-group’ (makundi) ya ngono ya WhatsApp ambayo sasa yamesambaa kwenye mitandao ya kijamii, Gazeti la Ijumaa lina ripoti maalum. Uchunguzi umebaini kwamba, awali matangazo ya makundi hayo yalikuwa ya...
  4. Rlechas_3a60

    Mjue Lucky Dube

    Msanii, mwanamapinduzi, mpinga ubaguzi na mtetezi wa haki za watu ambao daima wamekuwa wakionekana wanyonge Lucky Philip Dube, ambaye alifariki dunia Alhamisi ya Oktoba 18, mwaka 2007, baada ya kupigwa risasi, akiwa na wanae wawili ndani ya gari lake. Alikuwa mmoja kati ya watu ambao huwa...
  5. Rlechas_3a60

    Mugabe; Baba wa Taifa aliyemaliza vibaya

    Mwili wa aliyekuwa rais wa kwanza wa Zimbabwe, Robert Mugabe umehifadhiwa katika eneo ambalo alizaliwa, baada ya juzi kuagwa katika mji mkuu wa Harare, katika hafla iliyoshuhudiwa na watu kiduchu tofauti na mchango wake, ukongwe wake kwa taifa hilo. Wakati wa kutoa heshima za mwisho, viongozi...
  6. Rlechas_3a60

    Madereva waiangukia Serikali

    Madereva wa gari dogo la abiria wanaofanya safari zao kuanzia Mbezi hadi mkoani Morogoro wameiomba serikali kuangalia upya tozo za kuingia na kutoka kwenye vituo vya Kibaha, Mlandizi na Chalinze. Kauli hiyo ilitolewa na Mratibu wa Umoja Madereva hao, Peter Mbedule, wakati akisoma risala mbele...
  7. Rlechas_3a60

    Harmonize kutoka WCB ni ‘kiki’ ama ‘busta’?

    UKWELI uliowazi huthibitishwa na mpenyo wa uongo kwenye ngoma za masiko ya binadamu aliyehai na utimamu wa fikra zenye utambuzi wa weledi katika jambo husika. Kuna mambo katika nyakati huleta tafrani kidogo kwa wenye utambuzi wa kina katika ulimwengu huu wa mapinduzi makubwa ya sayansi na...
  8. Rlechas_3a60

    Haki ipo wapi?

    Mkazi wa Kijiji Kidogo cha Kilyamatundu, Kata ya Kipeta Mkoani Sumbawanga Rukwa, Ramadhani Bitwangwa Kambati (38) mwenye watoto Kumi na Wake Watatu imemlazimu kuiacha familia yake na kwenda Jiji la Dar es salaam kufuatia madai ya haki zake. Akizungumza na Wandishi Ramadhani alieleza kuiacha...
  9. Rlechas_3a60

    Historia ya lugha ya Kiswahili Pwani ya Afrika Mashariki na Kati

    Nadharia ya Kiswahili Kiswahili ni lugha ya Kibantu inayotumiwa na watu katika mawasiliano hasa Afrika Mashariki na ya Kati. Lugha ni sauti za nasibu zenye mpangilio maalumu zilizokubaliwa na watu ili zitumike kwa mawasiliano.Historia ya Kiswahili imeanza takriban miaka 1000 iliyopita kwenye...
  10. Rlechas_3a60

    Tumsikilize huyu mnyonge

    story ake ilikuwa na shida nyingi za kisarufi. hivyo kusaidwa
  11. Rlechas_3a60

    Tumsikilize huyu mnyonge

    STORY NA RAMADHANI BITANGWA KABATI S.L.P 229 LAELA SUMBAWANGA 2019 NUMBER 0758596659 YAH. MALALAMIKO YA KUTOTENDEWA HAKI KATIKA SWALA LANGU LA MADAI Naomba mahakama kuu iniangalie kwa jicho la pili, iangalie Familia niliyonayo ya watu kumi na nne, (14). Sina uwezo wa kuwasomesha wanangu...
  12. Rlechas_3a60

    Madaktari wa Muhimbili poleni kwa kazi na asanteni kwa kusema ukweli ila ni wakati wa kuomba kuimaimarishwa kwa tiba ya watu walioungua moto

    Shida za kupumua ni kama sababu kuu ya kifo kwa wagonjwa wanaowaka. Matatizo ya kupumua yanayoweza kuua ni pamoja na majeraha ya kuvuta pumzi, hamu ya maji na wagonjwa wasio na fahamu, pneumonia ya bakteria, edema ya pulmona, kizuizi cha mishipa ya pulmona, na kushindwa kwa kupumua kwa...
  13. Rlechas_3a60

    Huduma mbovu za Mtandao wa TTCL: Malalamiko ya wananchi

    Ttcl ni kwa wanaume wa dar Pia kwa wale aliokaribu na posta Hahaha
Back
Top Bottom