duh nimekaa zaidi ya nusu saa sijapata jibu la kukupa, ila in short 1st man he real love u ila kama humpendi achana nae, ila 2nd man doesn't love u, ila kumbuka wanaume wachache utaishia kuzalishwa tu, omba ushauri zaidi ila pia dunia hi dada mnakufa sana humo maofisini, think twice, ni hayo