Big One
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 759
- 47
kaka humu kunamichaga itakuponda achana nayo wewe fuata ndugu zako hakuna kitu kibaya kama kulazimisha alafu yaje yakutokee puani utanyamba fuata maelekezo dem mchane live asipoteze mda atafute mchaga mwenzake tafuta kabila jingine kaka utapata wanamaproblem hao kwanini wao kwa wao hawaoani jiulize