Suala la malumbano ktk vyama vyetu vya upinzani kweli limekithiri,sasa tumechoshwa na malumbano yasiyoisha,malumbano yanayoendelea ndani ya CUF na NCCR Mageuzi ni dalili tosha kuwa kuna kuna watu wanaotumwa na CCM kuja kuchafua upinzani ili CCM iendelee KUTHUBUTU ZAIDI,KUWEZA ZAIDI na KUZIDI...