Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
daaaah!!hayo unayoyasema ni kweli au mkwara tu?
Si umeomba tafsiri?
Kakusaidia wambeza,
haijalishi kapatia au kakosea ila kwa ufahamu wake ndio kakupa jibu hilo.
Ulipaswa kushukuru kwa kua uliomba.