Suala la malumbano ktk vyama vyetu vya upinzani kweli limekithiri,sasa tumechoshwa na malumbano yasiyoisha,malumbano yanayoendelea ndani ya CUF na NCCR Mageuzi ni dalili tosha kuwa kuna kuna watu wanaotumwa na CCM kuja kuchafua upinzani ili CCM iendelee KUTHUBUTU ZAIDI,KUWEZA ZAIDI na KUZIDI KUSONGA MBELE ZAIDI ktk kuwahujumu watanzania.Sasa tunataka wapinzani wenye uchungu na nchi na siyo kugombea madaraka tabia hii ni ya kiCCM ndani ya upinzani inakera sana.Wapo watu walitoswa CCM wakaingia upinzani kama