English ani lugha kama kifaransa,na hiko kiswahili unacho kiunderestimate,kujua lugha sio kipimo cha akili tunachokipima ni maamuzi sahihi,busara na mambo mengine ya msingi.kama lugha kama mwengine alivyosema unavaa headphone then mambo yanaendelea kama kawaida.pole saaana mtu anaejua kiingereza...
Habari za asubuhi wanajamii naomba ushauri wenu hasa wa kisheria,mie nafundisha katika chuo kimoja hapa nchini tz,katika tawi nililopo kiongozi wetu ameanzisha utaratibu wa kukata mshahara kwa mwalimu anayechelewa hata kama ni dakika 1.katika mkataba hakuna kipengele chochote kinachoainisha...
Naomba nikuambie hivi mwambie awe anasafisha maeneo yake mpka ndani kila akikoga na pia atumie fame wash kwa ajili ya kukata harufu na usafi pia. Zipo fame wash za oriflame, na nyingine nyingi tu.
Tupe wasifu wa LUCY MAYENGA kwasababu HATUONI KUONGEA WALA KUTILIA MKAZO JAMBO AKIWA BUNGENI SASA SIJUI YUKO PALE KWA AJILI YA KUTETEA VIJANA AU ???!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.