Baada ya Lori hii kupinduka, Jamaa hawa hawatazami kitu ila soda tu!!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
Baada ya Lori hii kupinduka, Jamaa hawa hawatazami kitu ila soda tu!!
smile_tongue.gif










 
mkuu bujibuji umenifurahisha sana.teh wahindi wanajidai huku tu kwao ni masikini sanaaaa
 
Ndio manzese ya India hiyo?? Sio kosa lao kuna watu wanaweza kunywa soda mara moja kwa mwaka!!!
 
Chupa zote hizo zilizovunjika hapo chini, wengine wana ndala tu, lakini wamo.
 
Back
Top Bottom