Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
makubwa nilidhani bongo peke yake kumbe bongo wanabeep wenyewe watu wakazi wako india.
kweli nilidhani haya mambo ni kule kwetu mwaisongole tulikuiba mafuta mpaka tukanyofoa betri tukaungua,huko india pia wana njaa hivyo? huku tunawashobokeeeea!hawa ni wahindi piga ua!