Mwaka ndio huo tena unaishia
JE? MAPENZI yamekufanyia nini?
1. Umehonga shilling ngapi?
2. Kiasi gani umelipa GESTI
3. Umetumia kiasi gani ukikodi au kumkodia mtu
TAXI kwa ajili ya MAPENZI
4. Umetumia kiasi gani kununua VOCHA umpigie na wakati mwingine kumtumia.
5. Kiasi gani umetumia kumtoa mimba changa hicho kimeo chako.(sihitaji kujua idadi)
6. Kiasi gani umetumia kwa kununua KONDOMU hapa sina hakika kwa sababu wengi wenu hamzitumii kabisa.
ANGALIA viwalo vyako vilivyo vikuu-kuu na kodi unalipa kwa mbinde, wadogo zako wanadaiwa ADA shuleni mbaya zaidi hata wazazi wako huko kijijini WANALALA NJAA.
BADILIKA 2010
JE? MAPENZI yamekufanyia nini?
1. Umehonga shilling ngapi?
2. Kiasi gani umelipa GESTI
3. Umetumia kiasi gani ukikodi au kumkodia mtu
TAXI kwa ajili ya MAPENZI
4. Umetumia kiasi gani kununua VOCHA umpigie na wakati mwingine kumtumia.
5. Kiasi gani umetumia kumtoa mimba changa hicho kimeo chako.(sihitaji kujua idadi)
6. Kiasi gani umetumia kwa kununua KONDOMU hapa sina hakika kwa sababu wengi wenu hamzitumii kabisa.
ANGALIA viwalo vyako vilivyo vikuu-kuu na kodi unalipa kwa mbinde, wadogo zako wanadaiwa ADA shuleni mbaya zaidi hata wazazi wako huko kijijini WANALALA NJAA.
BADILIKA 2010