Kimbunga cha HAIYAN phillipines hii ni habari kubwa sana 2013 na ya kushtua. Watu zaidi ya elf 6 walipoteza uhai na mpaka Christmass hii wanasherehekea wakiwa hawajapona vidonda vya majonzi ya kuondokewa na wapendwa wao.
Majanga kama hayo ni ushahidi tosha wa mabadiliko ya hali ya hewa na sisi...
Mfano ikatokea raisi akaamua kumsikiliza kila mtu, huyo raisi anaweza kufa kwa stress na presha. Maana kila mtu ana wazo lake, hivi tulishawahi kujiuliza kama leo hii ukavaa viatu vya uraisi ni nini ungefanya na ni jinsi gani ungekabiliana na changamoto? Na mawazo yapi ya wananchi tungeyapokea...
Kuna picha nilikua najaribu kuZipachika hapa ila hazikubali, moja nilipiga wiki ilopita nikiwa west kilimanjaro na ingine nimepiga leo asubuhi. Mlima una barafu ya kutosha hata kama imepungua ila si kiasi kama ilivyooneshwa katika picha.
Rubani sidhani kama proffessionally huyo rubani anaweza akashusha abiria pasipo international security standards kuzingatiwa. Arusha ni just domestic airstrip
Makosa kama haya ndio yanastahili kifungo cha maisha. Hapo huyu mtoto itamchukua karibia nusu au hata zaidi ya maisha yake yote kukaa sawa kisaikolojia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.