Mji wa moshi

Wewe kila kitu ni ccm tuu,inaelekea upo tayari hata kumtoa mkeo kwa makada wa kware wa ccm kama wakina Kapuya na wenzake.Sasa Mji wa Moshi na Makao makuu ya ccm yameingiaje,au lumumba mmeiamishia Moshi siku hizi?Shame on you.

Inawezeka Alikua ana maanisha Zumba land Ndio pako karibu na ofic za CCM Mkoa kilimanjaro kwa hiyo asamehewe TUU. Nako ni sehemu poa kwa kurefresh
 
Naikumbuka Moshi,

Kinywaji unapata Kindoroko Hotel halafu mbavu unapeleka Uhuru Hostel kwa raha na amani. Hivi Uhuru Hostel bado ipo?

Bado ipo Mkuu..Hahaaa pale chai na soda..;)
 
Mkuu ameshindwa kujieleza tu huyo wa ccm. Nadhani alimaanisha karibu na stand ya maili sita. Pale pana kiwanja. Msameheni bure

Kuna CCM Mkoa na CCM Wilaya ambapo pana kasehemu anaweza akapata kuku kidari. Kwa jina la utani panaitwa UMMA MBILI. Nyuma yake ni Vunjo pia inapatikana kuku kidari, paja, kapapatio n.k. Lakini kuna sehemu nyingine inaitwa 5GB kama unaelekea RAU.
 
Malindi imetajwa sana, panafaa kufika hapo angalau kwa kuanzia Kuburudisha macho kwanza, taratibu mengine yatajipa.

Ukifika hapo Malindi agiza kitu inaitwa mtura, arifu ukimaliza hyo utakuwa na uwezo wa kunywa monde nyingi sana. Eroo Moshi kwetu huko patamu sana.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hili jukwaa linaharibiwa sana. Kuna siku watu watakuja kuulizia guest na lodge kwenye hili jukwaa.

Mods mko wapi?? Remove this rubbish.
 
Hili jukwaa linaharibiwa sana. Kuna siku watu watakuja kuulizia guest na lodge kwenye hili jukwaa.

Mods mko wapi?? Remove this rubbish.

Wacha nongwa kiongozi, kama inavyojieleza yenyewe Jamii Forum means platiform where jamii (watu bila kujalisha rangi zao, kada zao, umri na nyadhifa) wanashare social, political and economical apects. Forum/platiform/uwanja huu unaunganisha watu, unaelimisha, unaleta experience ya mahalia na tamaduni za wengine kwa members wengine, sasa wewe unataka kujenga social stratification na uoga kwa members kana kwamba hawakusoma Terms and conditions za jukwaa hili. Nikuuliza does this thread offend your religion, tribe, personality, status or does it interfere your personal life? If not sasa unamwita Mod aondoe uzi kwa grounds zipi? Ama huu nao ni ukanda?
Hii tabia inakuwa sana hapa jukwaani eti basi tu kwa sababu mtu mmoja binafsi hayuko interested na thread anaanza nongwa na comment za kejeli. Usishambulie mtu shambulia hoja, na uhuru wako unakoishia ndiko uhuru wa mwingine unakoanzia. HILI NI JUKWAA LA KIJAMII na uzi umeonwa na Mods so we endelea na threads zingine which lies to your anchor position sio lazima uukomalie huu. Kama una chuki na kabila linalochangia kwa wingi hapa basi POLE find other way round to convey your attitude.
Long live Jf, kwa hisani ya Great thinkers!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Wacha nongwa kiongozi, kama inavyojieleza yenyewe Jamii Forum means platiform where jamii (watu bila kujalisha rangi zao, kada zao, umri na nyadhifa) wanashare social, political and economical apects. Forum/platiform/uwanja huu unaunganisha watu, unaelimisha, unaleta experience ya mahalia na tamaduni za wengine kwa members wengine, sasa wewe unataka kujenga social stratification na uoga kwa members kana kwamba hawakusoma Terms and conditions za jukwaa hili. Nikuuliza does this thread offend your religion, tribe, personality, status or does it interfere your personal life? If not sasa unamwita Mod aondoe uzi kwa grounds zipi? Ama huu nao ni ukanda?
Hii tabia inakuwa sana hapa jukwaani eti basi tu kwa sababu mtu mmoja binafsi hayuko interested na thread anaanza nongwa na comment za kejeli. Usishambulie mtu shambulia hoja, na uhuru wako unakoishia ndiko uhuru wa mwingine unakoanzia. HILI NI JUKWAA LA KIJAMII na uzi umeonwa na Mods so we endelea na threads zingine which lies to your anchor position sio lazima uukomalie huu. Kama una chuki na kabila linalochangia kwa wingi hapa basi POLE find other way round to convey your attitude.
Long live Jf, kwa hisani ya Great thinkers!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

huyu apelekwe msaranga au msitu wa langoni au njoro.
 
Kama wewe ni mpenzi wa kinywa kitakatifu (mbege) karibia meneo ya Kitandu...Roho yako itasuuzika..

N:B Kwa wale mnaokuja hijja msisahau kupata hii kitu saafi kutoka kitandu pale maeneo ya shirimatunda. Naskia cku ya boxing day kutakuwa na ofa.
 
Kuna CCM Mkoa na CCM Wilaya ambapo pana kasehemu anaweza akapata kuku kidari. Kwa jina la utani panaitwa UMMA MBILI. Nyuma yake ni Vunjo pia inapatikana kuku kidari, paja, kapapatio n.k. Lakini kuna sehemu nyingine inaitwa 5GB kama unaelekea RAU.

Hiyo 5GB nielekeze vizuri mahali ilipo na sifa zake angalau chache, maana hilo jina lilivyo ni vizuri kupaona hapo.
 
Back
Top Bottom