hivi jamani niambieni, mambo pale nyumbani yakienda ndivyo sivyo mfano mabinti wanapata mimbo au vijana wanaanza kuvuta bangi ovyo ovyo tu, je, tutakuwa sahihi kosa si la baba kwasbb yeye hashindi na watoto muda mwingi hivyo ni kumlushia lawama mama yao? kama JIBU NI kumlauma hata baba, basi...