Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Majibu ya Jack Zoka yana utata!

Status
Not open for further replies.
Huyu Zoka ni mara ya pili anajitokeza na kujibu tuhuma za Chadema. Nakumbuka mara ya kwanza ilikuwa ni baada ya uchaguzi wa 2010.


na bado anajiita mwanasiasa ilhali ni mjumbe wa CC na NEC ya ccm
 
It has come a time when silence become a betrayal~ Martin Luther King Jr.
when u remain neutral in the situation of injustice, u have chosen the side of the oppressor; Archbishop Tutu

Kama kweli anaijua kazi yake, atuambie ilikuwaje ndege ya kijeshi imetoka nchi nyingine ikaja ikabeba Twiga na kuondoka bila serikali kujua na inakuja kujua kupitia wabunge? Yeye kama mkuu wa Usalama wa Taifa alikuwa anajua au alikuwa hajui? Na kama alijua alichukua hatua gani kulizuia lisifanyike? Anyamaze kimya ache mahoka. Anachefua.

akimaliza jibu hilo na pia atuambie USALAMA WA TAIFA NI NINI NA UNAFANYA KAZI ZA KUWADHIBITI wanaoipinga serikali na maovu yake tu?

Je, anaweza twambia alikuwa wapi kama kweli anaijua kazi yake KAGODA, MEREMETA, RICHMOND, EPA, MAGOROFA PACHA, BUZWAGI, MCHUCHUMA, NK. VINATOKEA???

NINGEWASHANGAA SANA VIONGOZI WA CHADEMA KAMA WANGEKWENDA KUTOA MAELEZO POLISI. HIVI SERIKALI ILIMUHOJI DR. MWAKYEMBE? SAMWEL SITA ALIVYOSEMA MWAKYEMBE KALISHWA SUMU WALIMUHOJI? MENGI ALIVYOMTAJA POLISI FLANI KUWA ALITAKA KUMUWEKEA MWANAYE MADAWA YA KULEVYA WALIMUHOJI? NA KAMA JIBU NI NDIYO, NI HATUA GANI WAMEZICHUKUWA DHIDI YA WAHALIFU AU DHIDI YA MWAKYEMBE, MENGI & SITA? AU KWAKUWA HAWA NI CHADEMA??? ALUTA KONTINUA CDM.

WAMESAHAU KILICHOWATOKEA WAPAMBE WA BINGU WA MUTHALIKA MALA TU MAMA JOYCE BANDA ALIVYOKIKALIA KITI EEEH!!! SIMAANISHI CDM IKIINGIA MADARAKANI IWALIPIZIE KISASI, BALI NAJARIBU KUWAASA WATU JAMII YA SIJUI NYOKA AU NZOKA WASILEWE MADARAKA.

 
wewe ni rais wa migomo isiyokuwa na tija, na unaonyesha jinsi ambavyo huendani na wakati, unashindwa hata kuchambua hali ambayo nchi yetu inayo kwa sasa, unashindwa kuelewa hata maisha tuliyonayo watanzania wa chini. Nikizisoma comments zako naweza kuku-define katika perspectives nyingi sana. kama sio mshirika wa chama tawala basi wewe ni shabiki usiejua mwelekeo wako. Hali ambayo tanzania inayo leo haihitaji maoni ya watu design yako. Muda sio mrefu watu watakuwa wanashindia chai isiyo sukari. Leo mtanzania anakula mlo mmoja bado unawashabikia hao jamaa zako wanaosababisha ugumu wa maisha. Sijui kuhusu elimu yako maana navyozidi kuifikiria tanzania ya leo ilivyo kulinganisha na rasilimali zilizopo na nikiangalia comments zako nazidi kupata tafsiri mbaya juu yako, ila ntendelea kukuchambua kadri utakavyoendelea kutoa hoja dhaifu namna hiyo. Haya tiss wameshakuwa mawakala wa ugumu wa maisha ya watanzania, kila mtu anaekuja na solution kuhusu maisha mazuri anakuwa ni adui yao. Angalia maisha wa watanzania then ufikirie ndo utoe comments zako unakera


sina chama cha siasa niponipo kwanza, nafanya shughuli zangu zinaniingizia kipato halali nimeajiri vijana saba wote graduates wa hapa nchini. Maoni hayo yalikuwa mtazamo wangu tu, sijapenda unavyoni-force kuamini unachoamini. Nimeichangia ccm na chadema kwa nyakati tofauti, sijui mwenzangu mchango wako kwa jamii ni upi. Elimu yangu ni shahada mbili, moja niliipata nchi ya ulaya magharibi na ya pili urusi. Napenda michezo, ninao mkanda mweusi wa karate katika temple la shaorinji. Asante
 
TISS,FBI,MOSSAD they are very contraversial govt organs........!samtymz m cielewagi hata kazi zao n nn hasa!
 
Kwa mujibu wa gazeti la The Citizen la leo naibu mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliyetuhumiwa na CDM jana kuwa yeye anasimamia operesheni ya kuangamiza viongozi wake amejitokeza na kutoa majibu yafuatayo;

But in a quick rejoinder, Mr Zoka dismissed the allegations, saying that Chadema officials were just playing politics and he would ignore them since he was not a politician but a civil servant working for a State organ.
“Dragging my name into their claims is sheer nonsense…. all these people are doing is play politics by way of looking for easy punching bags. I’m doing my work as guided by principles and procedures,” Mr Zoka said



maswali ya kujiuliza;
1. Kanuni zinasema je kuhusiana na ni nani anapaswa kuongea na vyombo vya habari
2. Ametoa wapi mamlaka ya kutoa tamko kama kanuni hazimpi ruhusa
3.Kwanini kajitokeza haraka hivyo wakati Mkuchika ambaye ni waziri wake kasema kuwa jambo hilo ni kubwa na haliwezi kusemewa semewa ghafla.

Ninavyoona huyu jamaa anaharibu heshima ya Idara , na ndio maana CDM wanaweza kuipata mipango yake na kuiweka hadharani ,

kitu watu wasicho kijua ni hiki Ndani ya TISS HAKUNA CHEO CHA NAIBU MKURUGENZI! Kama huyo bwana anayejiita jina bandia la "JACK ZOKKA" anavyodai!
 
kitu watu wasicho kijua ni hiki Ndani ya TISS HAKUNA CHEO CHA NAIBU MKURUGENZI! Kama huyo bwana anayejiita jina bandia la "JACK ZOKKA" anavyodai!
Tanguu alioanza kujittokeza kwenye vyyomb vya habari pale Southern Sun.....ameshusha heshima yay idara.........principles gani za intelligence anafuata yeye..
 
Kwa mujibu wa gazeti la The Citizen la leo naibu mkurugenzi wa Usalama wa Taifa aliyetuhumiwa na CDM jana kuwa yeye anasimamia operesheni ya kuangamiza viongozi wake amejitokeza na kutoa majibu yafuatayo;

But in a quick rejoinder, Mr Zoka dismissed the allegations, saying that Chadema officials were just playing politics and he would ignore them since he was not a politician but a civil servant working for a State organ.
“Dragging my name into their claims is sheer nonsense…. all these people are doing is play politics by way of looking for easy punching bags. I’m doing my work as guided by principles and procedures,” Mr Zoka said



maswali ya kujiuliza;
1. Kanuni zinasema je kuhusiana na ni nani anapaswa kuongea na vyombo vya habari
2. Ametoa wapi mamlaka ya kutoa tamko kama kanuni hazimpi ruhusa
3.Kwanini kajitokeza haraka hivyo wakati Mkuchika ambaye ni waziri wake kasema kuwa jambo hilo ni kubwa na haliwezi kusemewa semewa ghafla.

Ninavyoona huyu jamaa anaharibu heshima ya Idara , na ndio maana CDM wanaweza kuipata mipango yake na kuiweka hadharani ,

kitu watu wasicho kijua ni hiki Ndani ya TISS HAKUNA CHEO CHA NAIBU MKURUGENZI! Kama huyo bwana anayejiita jina bandia la "JACK ZOKKA" anavyodai!
 
[h=6]ufisadi wa ajira wilaya ya ilala.

SALUMU KAZUKAMWE ni afisa manunuzi wa wilaya ya ilala,huyu jamaa aliajiriwa kupitia mlango wa nyuma ie kwa rushwa na alibebwa na katanga ambaye sasa ni katibu mkuu wa TAMISEMI, ajira haikutangazwa popote kinyume na taratibu za ajira serikalini.jamaa ali push kwa kumhonga mkurugenzi wa wilaya ya ilala tsh laki sita.

salum maarufu kwa jina la KAZU aliiba pesa za misaada ya waathirika wa mafuriko ya jangwani akanunulia gari aina ya suzuki vitara nyekundu.

wanatanuru,tuimulike kwa macho mawili halmashauri ya manispaa ya ilala kuhusu ajira za mlango wa nyuma.[/h]
 
Chama cha siasa kujiingiza kwny malumbano na vyombo vya ulinzi na usalama ni dalili za kupoteza mwelekeo
Ni vyombo vipi vya usalama? hivi vilivyochakachuliwa na kufanya kazi kama matawi ya CCM na kutekeleza mateso na mauaji kwa wananachi walioviweka? Kama kuna wakati hivyo "Vyombo vya usalama" vimepoteza jina ni katika awamu hii ya nne, vimejiingiza katika tope la uchafu wa kisiasa na sasa vinahunya hunya kujinasua bila ya uwezekano wa kufaulu! Usalama wa Taifa umekuwa janga la Taifa kwani taifa limepoteza uhai, mali na amali bila ya kulisaidia kama walivyopaswa. Hebu tujikumbushe machache:
i. Walihusika kuwahujumu wawakilishi wa umma ambao kimsingi ndiyo waajiri wao mfano mmoja ni pale walipowategea vinasa sauti vyumbani walimokuwa wakilala wabunge wa upinzani!
ii. Walijitumbukiza kutumika katika Kampeni za kisiasa ambapo magari yao yalibadilishwa namba tu na kutumika na familia ya mgombea wa CCM!
iii. Walihusika, pamoja na vyombo vingine kama Polisi na hata JWTZ kucheza faulo kadhaa kwa niaba ya CCM kubadili matokeo ta utashi wa wananchi!
iv. Wamezubaa bila kuchukua hatua za maana kulinda maslahi ya taifa wakati genge la vibaka katika chama tawala lilipovamia na kufanya uharibifu mkubwa kwenye asasi kadhaa kiuchumi kama vile wizi wa EPA kufanikiwa bila ya vinavyoitwa "Vyombo vya usalama" kuchukua hatua wala kuzia!
v. Vimezubaa bila kuchukua hatua wakati taifa likiingizwa mkenge kwenye mikataba ambayo hata kijana wa darasa la saba angegundua hila za kuliangamiza taifa na kuzishtukia!
vi. Vimezubaa hadi vibaka ndani ya serikali hizi corrupt kutorosha matrillioni ya fedha na kuwaacha wananchi (Waajiri wa hawa "Vyombo vya usalama") kuangamia kwa umasikini licha ya utajiri unaowazunguuka!
vii. Wamekuwa wakishangaa shangaa bila ya kuchukua hatua angalau za kuzuia uhamishwaji wa rasilimali za nchi hata pale genge la wahuni na mafisadi papa ndani ya serikali walipokuwa wanatorosha wanyama hai kama Twiga!
viii. Wamehusishwa (mara kadhaa kwa ushahidi mzito) na mateso na vifo vya raia wasio na hatia waliofanyiwa vitendo vinavyoweza kuvutia uchunguzi wa kimataifa baadae kama kumwagiwa tindikali, kutekwa, kutengenezewa ajali baadhi ya watu waliosimama hadharani kupinga uharamia wa CCM!
ix. Wamehusishwa na vifo vya wanasiasa na mashabiki wa vyama pinzani na vyombo hivyo vya usalama vimeshindwa kabisa kuwalinda viongozi wa upinzani wawe wabunge, watetezi wa haki za raia au wanachama wa upinzani!
x. Vyombo vyetu vya usalama vimelitia taifa doa kubwa pale wanaharakati wa haki za kiraia walipoomba msaada wa ulinzi toka asasi za kimataifa ama UN na Amnesty International.

Kwa haya na mengine mnayoweza kuongezea wananchi kweli ipo haja ya kuwa nao vidudu mtu hawa?

 
Kuna ukweli wa kimazingira kwamba.

CCM wants CDM ngangari leaders dead and UWT is at their dispose.

Nani ni mzuri Tanzania wa kuua kisirisiri zaidi ya UWT??
 
Na vyombo vya ulinzi na usalama kujiingiza katika masuala ya siasa chafu zenye lengo la kuwadhuru viongozi/wanachama wa chama cha upinzani kwa faida ya chama kinachotawala ni dalili za wazi kabisa za kupoteza mwelekeo na kushindwa kuwajibika kwaajili ya Taifa.

Wangekuwa kweli wanafanya kazi kwa kufuata kanuni sheria na taratibu za TISS, hivi leo wale wote waliomdhuru Mwakyembe wangejulikana na pia kashfa za EPA, RICHMOND na kadhalika zisingetokea!!Hivyo basi kwavile sasa hivi hawafanyi kazi kulingana na sheria kanuni na taratibu ndio maana wanafanya vitendo vya kuwadhuru raia wanaopaswa kuwalinda!!
 
Tangu nilipoanza kusikia hili jina kichwani kwangu napata hisia ya video ya kutisha. Labda wakuu mkisikia hili jina hisia gani zinawapata?
 
Tangu nilipoanza kusikia hili jina kichwani kwangu napata hisia ya video ya kutisha. Labda wakuu mkisikia hili jina hisia gani zinawapata?
Hisia za kutapika wali maharage baada kupiga ulabu wa kutosha.
 
Mmejaribu kuandamana na kugoma mmeona bado nchi iko salama mmeamua kuhamishia mashambulizi yenu kwa vyombo vinavyosimamia usalama wa nchi yetu? Hamtafanikiwa kwa hila zenu
 
Kwa kweli sitaki kujua kwanini Jack Zoka anabebeshwa zigo lisilo lake. Nililiona hili wakati wa Uchaguzi Mkuu, na baadaye katika kuhusishwa kwake na wanasiasa wa upinzani na sasa tena anapotajwa kwenye suala la Ulimboka. Ukweli ni kuwa Jack Zoka hana nguvu hizo ndani ya TISS; mtu pekee ambaye anatakiwa kubebeshwa lawama za yote yanayotokea na kuhusisha maajenti wa TISS ni Mkurugenzi wa TISS. Huyu si mwingine bali ni RO...

Ndiye anatakiwa kuwajibishwa kwani ndiye mwajiri wa maajenti wa TISS na ni yeye pekee anayeweza kuwawajibisha! Ikumbukwe kuwa maajenti wa TISS hawako kwenye "civil service" na hivyo hawaangukii chini ya uongozi wa Katibu Mkuu kiongozi.
 
Hao wengine wanajificha lakini jack zoka ukimbelembele wake ndio unamponza anakimbilia kwenye vyombo vya habari utafikiri TISS Mali yake
 
Hao wengine wanajificha lakini jack zoka ukimbelembele wake ndio unamponza anakimbilia kwenye vyombo vya habari utafikiri TISS Mali yake
A prudent man sees evil and
hides himself, The naive
proceed and pay the penalty. MITHALI 27:12
 
Kama kweli anaijua kazi yake, atuambie ilikuwaje ndege ya kijeshi imetoka nchi nyingine ikaja ikabeba Twiga na kuondoka bila serikali kujua na inakuja kujua kupitia wabunge? Yeye kama mkuu wa Usalama wa Taifa alikuwa anajua au alikuwa hajui? Na kama alijua alichukua hatua gani kulizuia lisifanyike?

Anyamaze kimya ache mahoka.

Anachefua.
Akimaliza kujibu hilo ajibu na hili inakuaje makampuni makubwa yanayochimba madini na gas yanaliibia taifa mabilioni ya dola kwa mikataba ya kimangungo na ukwepaji wa kulipa kodi mpaka mataifa ya nje yanagundua, mfano PAN AFRICA, wenyewe wakiwa wamezidiwa na ndoto za ccm kutawala milele.
Lakini hakika mapambano haya ya ukombozi wa taifa letu hawawezi kuyakwamisha hata kwa umafya wanoufanya.
KUMBUKA SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU, hakuna aliyewahi kushindana na MUNGU akashinda.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom