wagogo bado wanataka viongozi kama akina Lusinde=mropokaji,mjinga.........................
hao wagogo ni wenzetu na tunawahitaji sana, twende nao taratibu na ukombozi utawafikia tu kwa njia ya kuwaelimisha, kutoa elimu ya demokrasia na kupigania haki ni moja ya kazi zetu, hao wetu hata hawana muda mrefu, tunamega tarartibuu