Madiwani wapya

wagogo bado wanataka viongozi kama akina Lusinde=mropokaji,mjinga.........................

hao wagogo ni wenzetu na tunawahitaji sana, twende nao taratibu na ukombozi utawafikia tu kwa njia ya kuwaelimisha, kutoa elimu ya demokrasia na kupigania haki ni moja ya kazi zetu, hao wetu hata hawana muda mrefu, tunamega tarartibuu
 
Wakaz wa dar mpk leo bd wanauza vitambulisho vya kupigia kura.kilichotokea vijibwen ni upuuz mtupu idadi ya waliopiga kura jana ni 2741 wakat mwaka 2010 walipiga kura watu 4648 na jumla ya waliojiandikisha ni 10371 ukifatilia kwa umakini utagundua upo mchezo mchafu uliochezwa hapo.dar hovyøooooooo
 
kwa hiyo mnataka kuwasadikisha watu kua kila ccm inaposhinda kuna dhiki,Temeke nako kuna wagogo,ilala kwa zungu?acheni kua myopic halafu mnajifanya great thinkers,kwenye msafara wa mamba na kenge wapo ndio maana sio kila anae login jamii forum ni great thinker

In general ccm hutumia dhiki za wapiga kura kujipatia ushindi, dhiki hizo zinajumuisha elimu na ufahamu pia, si pesa na chakula tu, na ukizungumzia ilala na temeke unarudi kudhihirisha hilo, ione tofauti ya wakaazi wengi wa ilala na temeke, ufananishe na kawe, ubungo, na segerea, utaona mbinu za ccm zinaweza kuilpa ilala na temeke zaidi
 
kwa hiyo mnataka kuwasadikisha watu kua kila ccm inaposhinda kuna dhiki,Temeke nako kuna wagogo,ilala kwa zungu?acheni kua myopic halafu mnajifanya great thinkers,kwenye msafara wa mamba na kenge wapo ndio maana sio kila anae login jamii forum ni great thinker


Ungemalizia kwanza dawa ya kufunga kutapika ndo uje humu. Usisahau matunda
 
Eeehhh Mungu wa waislamu na mungu wa wakristo nakuomba uangazie mkoa wetu wa Tabora mwanga,mwanga utakaowafungua macho wanyamwezi wenzangu waone manyanyaso tunayoyapata toka kwa uongozi dhalimu wa CCM ili siku moja waikatae CCM na sisi angalau tusogee mbele kidogo!Eeeh mungu kwanini hauufanikishi uchaguzi mpya kwenye majimbo kama ya Tabora mjini?Maana tuna mbunge wa Simba sports Club asiyetaka kutatua matatizo ya jimbo lake,mwenyezi mungu tuonee huruma kwani tukisubiri mpaka 2015 wanyamwezi tutakuwa tumekwisha kwa matatizo yanayotuandama!!Mungu tupatie jambo mbunge mmoja tu wa upinzani kwenye mkoa wetu kama ulivyofanya uchaguzi wa mwaka 1995!!! Mwenyezi mungu ni haki kweli mpaka karne hii mkoa haujaunganishwa kwa lami na mikoa mingine bila kujali kuwa ni njia panda ya mikoa mingine zaidi ya mi5 achilia mbali nchi za jirani kama burundi,Rwanda na Congo ya mashariki,mkoa unashida ya maji yakupitiliza wakati tafiti zinaonyesha kuwa na reserve ya kutosha ya chemichemi(Underground water) tena inayopatikana kwenye kina kifupi ardhini!!Mungu tumekukosea nini waja wako????
 
kwa hiyo mnataka kuwasadikisha watu kua kila ccm inaposhinda kuna dhiki,Temeke nako kuna wagogo,ilala kwa zungu?acheni kua myopic halafu mnajifanya great thinkers,kwenye msafara wa mamba na kenge wapo ndio maana sio kila anae login jamii forum ni great thinker
mfano lusinde aki-log in tu mi nitajua.
 
kwa hiyo mnataka kuwasadikisha watu kua kila ccm inaposhinda kuna dhiki,temeke nako kuna wagogo,ilala kwa zungu?acheni kua myopic halafu mnajifanya great thinkers,kwenye msafara wa mamba na kenge wapo ndio maana sio kila anae login jamii forum ni great thinker
ahsante kwa majibu mazuri. Kumbuka 2010 cdm walipata kata kadhaa ikiwemo ya makulu. Kama kigezo ni dhiki moro town vip maana hakuna kata iliyochukuliwa na upinzani
 
Tuna responsibility ya kuwapa elimu ya democracy before we judge them.
So kabla ya next election inatupasa kila MWELEWA WA DEMOCRACY awape lecture ya advantage na disavantage ya kuendelea kutoa kura kwa magamba na kuambulia kanga/tshirts na kofia!!!!!!!!!!!!!!
Let us wake them from that sleeping.
Huu ni wito kwako kwani it begins with you!!!!!!! NOT only Slaa Mbowe and Zitto it is YOU and please today if possible
.
 
ndugu fergusonema mbona umeonekana kukwazika sana na jamaa aliyesema wagogo bado wamelala?? inaelekea wewe ni mgogo au una ujamaa na wagogo nini? anyway, usiumie sana ni vijimambo na huenda ni mtani wako so sioni kwanini umemind sana.

Unajua nini ndg zangu? katika nyanja zote na hata kaika jamii kuna kundi la watu ambao huwa wanachelewa ku-adapt changes. Ukweli tukitoa hukumu based katika makabila ukweli utabaki kuwa WAGOGO bado wamelala sana. Ingiwa unaweza kukuta mgogo mmoja mmoja akawa mwelevu sana.

Mfano kwa wachaga kuna ile jamii ijulikanayo kama WAKISHIMUNDU bado ni wazubaifu sana miongoni mwa wachaga. Hivyo hata mimi nasema wagogo bado wamelala sana na wasijiskie vibaya kuambiwa ukweli. CCM kushinda maeneo mengine haimaanishi kuwa nao ni wagogo au wamezubaa bali huenda KUNA KUNDI KUBWA LA WAZUBAIFU TOKA MAKABILA MENGINE waliojikuta wanaishi eneo moja kwa wingi na werevu mmoja mmoja akajikuta ameishi nao.

Ndugu zangu naomba uliza kwa mfano. Mnaoifahamu DAR mtaelewa vizuri. Chukulia kwamba una gari yako binafsi na uko pale ubungo plaza. chukulia pia kwamba unataka kwenda pale mwenge stand ya daladala. ile unataka kuondoka anatokea mtu anakwambia "aisee kaka/dada, hii barabara ya sam nujoma foleni ni kubwa sana na haitembei kabisa. Ila ile ya shekirango sina hakika kama nayo ina foleni au la". Je, kama ni wewe utachukuwa uamzi wa kupita barabara ipi kati ya hizo mbili????

Basi kuchagua ccm ni kuchagua chama ambacho una uhakika kabisa kuwa hakiweze kukuletea maendeleo na kuchagua cdm ni kama kuchagua chama ambacho hatuna uhakika kama kinaweza tuletea maendeo au la. kwangu nachagua cdm kwani inaweza tuletea maendeleo na inaweza isituletee. Lkn siwez ccm kuichagua sisiemu kwani nina uhakika haiwezi na haitaweza leta maendeleo daima.:lol::)
A%20S%20576.gif
 
Hongera CHADEMA kwa ushindi wa ubunge wa ARUMERU Mashariki na Madiwani wa CHADEMA big up sana
 
Eeehhh Mungu wa waislamu na mungu wa wakristo nakuomba uangazie mkoa wetu wa Tabora mwanga,mwanga utakaowafungua macho wanyamwezi wenzangu waone manyanyaso tunayoyapata toka kwa uongozi dhalimu wa CCM ili siku moja waikatae CCM na sisi angalau tusogee mbele kidogo!Eeeh mungu kwanini hauufanikishi uchaguzi mpya kwenye majimbo kama ya Tabora mjini?Maana tuna mbunge wa Simba sports Club asiyetaka kutatua matatizo ya jimbo lake,mwenyezi mungu tuonee huruma kwani tukisubiri mpaka 2015 wanyamwezi tutakuwa tumekwisha kwa matatizo yanayotuandama!!Mungu tupatie jambo mbunge mmoja tu wa upinzani kwenye mkoa wetu kama ulivyofanya uchaguzi wa mwaka 1995!!! Mwenyezi mungu ni haki kweli mpaka karne hii mkoa haujaunganishwa kwa lami na mikoa mingine bila kujali kuwa ni njia panda ya mikoa mingine zaidi ya mi5 achilia mbali nchi za jirani kama burundi,Rwanda na Congo ya mashariki,mkoa unashida ya maji yakupitiliza wakati tafiti zinaonyesha kuwa na reserve ya kutosha ya chemichemi(Underground water) tena inayopatikana kwenye kina kifupi ardhini!!Mungu tumekukosea nini waja wako????

Hivi IGUNGA haiko Tabora? If my STD IV geography still serves me well, Igunga is district in Tabora region. Mlishapewa another MORE chance still mkaichezea. Sasa unamlilia Mungu awape nini? Gunia la chawa?!
 
Hivi IGUNGA haiko Tabora? If my STD IV geography still serves me well, Igunga is district in Tabora region. Mlishapewa another MORE chance still mkaichezea. Sasa unamlilia Mungu awape nini? Gunia la chawa?!


Mkuu naimani hauna matatizo ya macho,hivi umeona dua yangu ya kwanza hapo juu nimemuomba mungu awafanyie kitu gani wanyamwezi?Hayo maelezo yanajumuisha hayo unayoyaongea kuhusu Igunga!!
 
Back
Top Bottom