TOBA!Slaa Ana Heshima Gani!Kama anadhubutu Kutelekeza Mke na Kuishi na Mwanamke wa Mtu(Mnyonge) ambae Hajapewa Talaka!Mtu ambae hawezi kulinda ndoa yake na ya mwenzake Hana Heshima!
Mteteeeni ila Ukweli Upo Palepale Heshima ya Slaa Siioni!
Ma kweli kumtawala MTZ kiakiali ni Rahisi sana!
Nadhani tunajadili UWEZO wa mtu kuongoza. Kwa hoja hii, Rais wa South Africa asingeongoza Nchi. Haya mambo ya alioa, aliolewa, Nadhani ni propaganda. Kama unakumbuka vizuri pale Arumeru mashariki yalianza, watu wenye busara zao wakaona ni propaganda. Eti kijana hajaoa, sasa Uongozi na kuoa/kuolewa ni mbali na wapi ? Jamani tunataka kiongozi anayejua matatizo yetu, yule ambaye kwake "NO" ina maanisha "NO", a leader who knows that we are far back and we need to move on faster, a leader who can differentiate a "kijiko" from a "koleo". Halafu tu ujue, HAKUNA mtu ambaye hajui uwezo wa Zitto katika kujenga hoja and all that, But SIYO kwa nafasi ya URAIS. na Ujue HAKUNA mtu anayemzuia Zitto kujaribu kuomba ridhaa ya wananchi ili kugombea Urais, isipokuwa watu wenye mapenzi mema wanashauri tu kuwa angeweza kutulia kidogo. kwani ukiwa na uwezo ni lazima uwe Rais ili kutumikia Taifa lako ? Huwezi kutumikia kwa nafasi nyingine ? NAPITA NJIA TU.