Prof. Mkandara na Prof. Kikula -manufaa ya kisiasa?

MchunguZI

JF-Expert Member
Jun 14, 2008
4,009
2,171
Hawa ni manaibu wakuu wa vyuo vyetu vikuu, Chuo kikuu cha DSM na chuo kikuu cha Dodoma.

Taarifa rasmi zinaonyesha kwamba wameshafikia umri wa kustaafu lakini yaonekana kwa manufaa ya kisiasa wameendelea kuwa kazini bila hata nafasi zao kutangazwa kama ilivyo ktk charter za vyuo hivyo. Hisia yangu ni kwamba ni uvunjifu wa sheria ambayo Rais mwenyewe aliweka sahihi. Charter zote ziliwekewa sahihi na Rais tena huyu huyu aliyeko madarakani, Bw. Yote ni sawa.

Kwa mtindo huu hakuna atayestaafu na kuachia nafasi kwa wasiyo na ajira.
 
Domo refu kama chupa kazi umbea tuuuuu !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
hawa ni manaibu wakuu wa vyuo vyetu vikuu, chuo kikuu cha dsm na chuo kikuu cha dodoma. taarifa rasmi zinaonyesha kwamba wameshafikia umri wa kustaafu lakini yaonekana kwa manufaa ya kisiasa wameendelea kuwa kazini bila hata nafasi zao kutangazwa kama ilivyo ktk charter za vyuo hivyo. Hisia yangu ni kwamba ni uvunjifu wa sheria ambayo rais mwenyewe aliweka sahihi. Charter zote ziliwekewa sahihi na rais tena huyu huyu aliyeko madarakani, bw. Yote ni sawa. kwa mtindo huu hakuna atayestaafu na kuachia nafasi kwa wasiyo na ajira.
 
Domo refu kama chupa kazi umbea tuuuuu !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Argue critically and logically, siyo kusema domo refu kama chupa... kwa sababu lako hatujaliona??????

GREAT THINKER, give reasons, kanusha kuwa alichokiandika mleta maada siyo cha kweli kwa kutoa sababu zenye mashiko. Lakini kama hauna cha kuongea au hauna ushahidi na utakachoandika, soma na upite kama wengi wanavyofanya, siyo kuleta majungu na vijembe vya kike.......samahani, sijui jinsia yako, pengine wewe ni mwanamke.....sorry.....
 
kwa hiyo wanawake ndo huongea vitu visivyo na mantiki??????
Hebu watake radhi.

Argue critically and logically, siyo kusema domo refu kama chupa... kwa sababu lako hatujaliona??????

GREAT THINKER, give reasons, kanusha kuwa alichokiandika mleta maada siyo cha kweli kwa kutoa sababu zenye mashiko. Lakini kama hauna cha kuongea au hauna ushahidi na utakachoandika, soma na upite kama wengi wanavyofanya, siyo kuleta majungu na vijembe vya kike.......samahani, sijui jinsia yako, pengine wewe ni mwanamke.....sorry.....
 
Domo refu kama chupa kazi umbea tuuuuu !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Historia yako JF ni fupi kiasi hujapata muelekeo wa hoja;

Join Date : 1st January 2012
Posts : 16
Rep Power : 317
Likes Received 0
Likes Given 0


Unajifunza yale yale ya Lusinde?
Naamini hata kama wanaosemwa una ndoa nao lazima ifike siku useme tuachane!
Funga ndoa kwa wema siyo kwa kufa na kupona ktk ubaya.

Hawa watu hawajafikia umri wa kustaafu?
 
  • Thanks
Reactions: 3D.
Funga ndoa kwa wema siyo kwa kufa na kupona ktk ubaya.

song3.jpg
 
hi jf,hawa wakubwa vyuoni wako kwa maslah ya chama tawala,ukifuatiliakwa makini utagundua kwamba kuna wanafunzi udom wamekua suspended kisa walikua wanakwenda kushiriki kampen za udiwan chang'ombe

  • :nono:
    • :bounce:


 
hivi inakuwaje mtu unapata ujasili wa kutoa matusi. kwani huwezi pinga HOJA YA MTU VIZURI MPAKA UTUKANE????? MUMELELEWAJE NINYI WATU!!! hata kama mtu katoa hoja isiyokuwa na mashiko kwanini usimueleweshe au hata kumpuuza tu mpaka utukane????? sasa kati yake aliyetoa hoja pumba na wewe uliyetoa matusi nani wa ovyo????
 
Hawa ni manaibu wakuu wa vyuo vyetu vikuu, Chuo kikuu cha DSM na chuo kikuu cha Dodoma.

Taarifa rasmi zinaonyesha kwamba wameshafikia umri wa kustaafu lakini yaonekana kwa manufaa ya kisiasa wameendelea kuwa kazini bila hata nafasi zao kutangazwa kama ilivyo ktk charter za vyuo hivyo. Hisia yangu ni kwamba ni uvunjifu wa sheria ambayo Rais mwenyewe aliweka sahihi. Charter zote ziliwekewa sahihi na Rais tena huyu huyu aliyeko madarakani, Bw. Yote ni sawa.

Kwa mtindo huu hakuna atayestaafu na kuachia nafasi kwa wasiyo na ajira.

Mkuu hata Philemon Luhanjo aliongezewa eti miaka miwili kisa kuna kazi ya shughuli ya miaka hamsini ya Uhuru ameianza na inabidi aimalize YEYE na blah blah nyingi!

Hiyo ndiyo Tanzania zaidi ya unavyoijua........ Mtunga sheria mdio mvunja sheria....
 
sio hao tu hata kiravu aliongezewa miaka kisa uchaguzi wa 2010, eti alikua ameizoea kazi hivyo angekuja mtu mwingine angevurunda.sasa sijui kama sasa hivi anajua matokeo halisi ya kura za uraisi 2010, mana alikua anapiga chenga kujibu hilo swali. ndio tanzania yetu hii. kisiwa cha amani.
 
Back
Top Bottom