cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
usamehewe kwa kua hujui usemalo! ungemjua unayemtusi, UNGEWAHI KUMUOMBA MSAMAHA! si makosa yako, ni uchache wa nidhamu na fikra za unafiki zilizokujaa.Nyerere kafanya nini cha maana? Mwinyi kaanza kuibomoa misingi mibovu aliyoiweka Nyerere iliyotufanya maskini wa mwisho duniani. Eti kila kitu cha umma! khaaa! jitu halijui hata choo cha flash ni nini unakuja unamwambia haya simamia majengo ya umma! hiyo ni akili kweli? kwanza angefundishwa namna ya kutumia choo.