mpaka ukaamua kwenda kanisani mkuu!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..... daaahhh kuna uzi uliletwaga hapa mda kidogo ulikua unasema "Having sexual intercourse regularly increase your faith".... labda ni kweli aisee
Habarini jamani...
samahanini mimi nyuzi kama hizi nikishasomaga tu comment za watu huwa naishiwa cha kucomment so naamua kupita tu kama hiivi.. heeiy nilikuepo
kila siku mnaambiwa ukiwa na demu mmoja anafanya mawazo yako yanakua mgando ila hamsikii!! ona sasa huyu mtoto wa kike anamcheat 2 times alaf anakuja huku anaomba ushauri jinsi ya kumuacha. Eti when i tried to do so i feel pain!!! aaarrgghh WTF??? what is the cause of those pain? obviously...
Hivi kuna wanaume wamesoma hiyo thread apo? kama wewe umeisoma umejisumbua tu!! ni women hao hata ukisoma hawako hivo alaf bado unaeza usiwaelewe then hata icho kidogo ulichokielewa kinaeza kisikusaidie!! Mimi nilivoona heading tu nikaamua nije ni comment huku kwamba "NI WALE WALE TU".
daaaahhh!! respect you girls. Na mimi kuanzia leo hata sijisumbui hata kuwaelewa kwa sabab siku hizi hawataki hela hela tu peke yake! wanataka na vitu vingine ambavyo hata wenyewe ukiwauliza hawavijui.Eeeeeehhh Mungu baba embu naomb wapunguze kidogo kwa maana huku duniani wenyewe ndio wako...
kuna sifa NEGT moja huijui ngoja nikwambie:
huyo lazima atakua na kamchempuko haiwezekani akienda mahal anapopapenda anachelewa kiasi icho, yani saa 3 hadi saa 3 usiku!! shtuka wewee......
MIND of king&
unajua Mungu huwa namuogopa, namuabudu, namuheshimu yani generally nampa sifa zote. Alipotuumba wanadam alitupa akili lakini yenye limitation (ukomo) tena yeye mwenyew anasema "nimekupeni akili ya kuweza kuvitawala vitu ambavo viko katika mazingira yenu". Sasa wewe ako ka akili ulichopewa cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.