Nashndwa kumuacha licha ya yote haya

Habari wakuu. Mimi ni kijana, nina kazi nzuri tu inayoniingizia kipato cha kutosha.. Nina mpnz wangu ambae tulianza mahusiano nae mwezi March mwaka huu. Nilipanga yeye ndo aje kuwa mke wangu siku moja. Ila toka niwe nae sijawahi kuhisi raha ya mapenzi . Nliwah kugundua ana mahusiano mengne na watu wengine na pia kumfumania mara mbili na wanaume tofauti ila mara zote nimekuwa nikimsamehe akiomba msamaha.. Kilichonisukuma niandike uzi huu ni kitendo cha yeye kutoa ujauzito wangu wa miezi 3(japo sina hakika sana kama ulikuwa wangu) na tulikuwa tumeelewana kuulea. Nataman sana niachane nae ila kila nikijaribu kufanya hivyo najikuta naumia zaidi. Naomba ushauri nifanyeje kwan naogopa kuendelea nae kwa kuogopa makubwa zaidi
Umerogwa wewe.
 
Huyo hafai hata kidogo, watu wanaacha ndoa sembuse demu, kwa taarfa yako huyo hataacha kukusalt hata akimuoa, maumivu unaypyapata sasa hv ni robo ya yajayo, ukipga chn utaanza kuzoea taratb Mzee! Wapo wengi sana, umfumanie live Mara 2 bado unachomeka muhogo wako? Au umelogwa jamaa? Atakuja akupe maradhi huyo ni kahaba,

Katoa mimba maana itamzuia kugawa uloda! Siku nyingne acha kahaba kama huyo hafu ndo uje uombe ushaur
 
Huyo hafai hata kidogo, watu wanaacha ndoa sembuse demu, kwa taarfa yako huyo hataacha kukusalt hata akimuoa, maumivu unaypyapata sasa hv ni robo ya yajayo, ukipga chn utaanza kuzoea taratb Mzee! Wapo wengi sana, umfumanie live Mara 2 bado unachomeka muhogo wako? Au umelogwa jamaa? Atakuja akupe maradhi huyo ni kahaba,

Katoa mimba maana itamzuia kugawa uloda! Siku nyingne acha kahaba kama huyo hafu ndo uje uombe ushaur
Maneno mazito kaka ila itanibidi. Nashukuru sana
 
Dah sijui uNataka nini zaidi ili umuache, me naamini mwanamke mchepukaji na mtoa mimba hashindwi kukuua ukiwa usingizini au hata kwa simu kwenye chakula
 
kila siku mnaambiwa ukiwa na demu mmoja anafanya mawazo yako yanakua mgando ila hamsikii!! ona sasa huyu mtoto wa kike anamcheat 2 times alaf anakuja huku anaomba ushauri jinsi ya kumuacha. Eti when i tried to do so i feel pain!!! aaarrgghh WTF??? what is the cause of those pain? obviously is such a girl... as far as you keep that cause then you come here to seek for treatment. This is insane.... Embu muwe mnaanza mapenzi kwenye umri mdogo labda hizi "Let her go" mtazizoea.
Yani mimi demu anicheat alaf nifikirie kumuacha!! I don't have time to think that shit, i will just do it!!!
 
Back
Top Bottom