Ubabe Wa wanaume katika mapenzi

Ubabe Wa wanaume katika mapenzi

Habarini jamani...
samahanini mimi nyuzi kama hizi nikishasomaga tu comment za watu huwa naishiwa cha kucomment so naamua kupita tu kama hiivi.. heeiy nilikuepo
 
Habari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo?? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano..kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana..Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati
Hata mimi ningelikukataza eboo eti full moon nakujua huko Nungwi hakuna salama kuna wataliano na wagegedaji hatari. Nilimtokea mdada wa kitaliano hajui hata english dadeki zake alipangika kama toto la kimanyema😉
 
Sio wanaume wote tupo hivyo. Girlfriend wangu yupo huru kufanya anachotaka, ila mipaka muhimu.
 
Inaonekana wewe ni kicheche sana unakosa muda wa kufanya ukicheche wako.
 
Habari wana jukwaa, naomba kujua hivi wanaume ndio wababe hivi au huyu nilie nae in kimeo?? Yani huyu bwana nna miezi nae mitatu tu, amekua ni mkali balaa haya nashindwa kumuelewa yani anachotaka yeye kiwe ndio hichoicho hasikilizi opinions zangu mfano..kama mwezi umepita nilikua na trip ya zenji full moon pati nikamwambia naenda akagoma eti nisiende na sababu ya msingi hana..Pili one day nilikua naenda kwenye harusi nikamuaga anasema usiende njoo tuspend hii time together nikamwambia nitakuja afta party eti kasusa kanuna kabisaa na anatabia za kuninunia bila hata mpango...mi kwakweli namshangaa sanaaa...ndivo wanaume mlivo?? Maisha hayo mi siwezi ati
Sio wote baadhi yao
 
wanaume hawaivi na mke mjuaji au mwenye mamalaka kuzidi yeye,ndo maaana anaweza akajisikia tu kukukataza kitu ili ajue uta respond vipi,ukilazimisha basi hapo anaweka question mark
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom