Hivi anayevuruga mahusano yetu ni nani?

Hivi anayevuruga mahusano yetu ni nani?

Kwa sasa hivi nahisi ni 50/50

Wanawake wana tamaa ya pesa sanaa wakati wanaume wana tamaa ya mionekano ya wanawake wa siku hizi
Chura ndio tatizo kwa wanaume😀😀😀
 
Tamaa...... ndio imeleta haya yote.
Hapa
Fedha.jpeg

Vs
Hapa
mizigoo23445.jpeg
 
Habari wanajamvi?
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na mitafaruku mingi ktk mahusiano. Ndoa nyingi na mahusiano mengi ya kimapenzi yanalegalega. Hakuna tena kumianiana kati ya mwanamke na mwanaume. Kibaya zaidi wanawake wanawalaumu wanaume kuwa ndio wamesababisha uaminifu na upendo utoweke na wanaume nao wanalalamika wanawake ndio chanzo cha mapenzi ya dhati kutoweka. Sasa mi napenda kujuzwa kama wanaume hawahusiki na ufisadi wa mapenzi na wanawake nao hawahusiki pia, je ni nani anaetuhujumu ktk mapenzi? Anakaa sayari hii au Mars?
Hali si shwari tena mapenzi ya dhati yametoweka kama dinosoo. Naomba tutamfute mchawi anaeturoga ni nani? Maana wanaume wanadai wao wana mapenzi ya dhati tatizo wanawake, wanawake nao wanarusha makombora upande wa pili, hapa kati kati kuna nani amejificha?
mmnnhhh kwa hiyo unataka unambie hujui kama hapo katikati yuko MCHEPUKO??
 
Hapa inshu wanawake
Sisi wanaume tunapenda sana care haswa unapokuwa na wako ndani.siku za kwanza mmeoana mke anakuwa msikivu sana ila sasa akuzoee ndo shida hapo ndipo tunapokumbuka nyama hali kwamba maharage yametuchosha
 
Anayevuruga ni mwanamke na mwanaume wote wanahusika.

1. Mke wa mtu anatongozwa anakubali ili hali anajua ana ndoa yake.

2. Mme wa mtu anatongoza wake za watu ili hali nae anajua ana mke wake wake.
KWA NN TUSISEME NOO KWA PAMOJA JAMANI NDOA NA MAPENZI YETU YADUMU ?
NOOOOO! mm nimeshasema mkuu
 
Mchawi ni binadamu mwenyewe

Kila mtu akibaki na wake mmoja hakutokua na usaliti
Mbona wewe huna mmoja?,au unabisha?,tena namjua mama yako Mama Koku na baba yako mzee Bashumika hapo kwenu Igogo Mwanza,kila wakati unawagombanisha vijana wa watu bila huruma,hivi unafikiri bwana Yesu anapenda matendo yako?
 
Mbona wewe huna mmoja?,au unabisha?,tena namjua mama yako Mama Koku na baba yako mzee Bashumika hapo kwenu Igogo Mwanza,kila wakati unawagombanisha vijana wa watu bila huruma,hivi unafikiri bwana Yesu anapenda matendo yako?
Dah, hapo sasa unaingilia privacy za watu. Tujikite ktk mjadala
 
Back
Top Bottom