Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,976
- 95,490
Eeh tunajua kama huwezi kuwa nao mbonaHivi huwa mnasema kwa kumaanisha au mnatania tu, maana huo msamiati mie sina kabisaaaa.
Eeh tunajua kama huwezi kuwa nao mbonaHivi huwa mnasema kwa kumaanisha au mnatania tu, maana huo msamiati mie sina kabisaaaa.
hahaha ikiwa too much kuna muda hatokuwa comfortable
Ubembeleze for what!! Maisha yenyewe mbanano haya.
Hivi huwa mnasema kwa kumaanisha au mnatania tu, maana huo msamiati mie sina kabisaaaa.
Eeh tunajua kama huwezi kuwa nao mbona
Haha hilo somo halijawahi kuexist kwake at allHaha, atoto tena, hii kwake ina sound kama kunena kwa lugha.
Haha hilo somo halijawahi kuexist kwake at all
Hapo atoto amekuelewa hatari bila hata ya dictionary...and then, a Real Gentleman, will never let you spend your money when you're with him even if you insist, ndio uzuri wa gents.
Cc atoto
tehe tehe tehe
Kweli kabisa.
Kweli kabisa, nikilitamka sio la kuamini, zitakuwa sio akili zangu.Haha, atoto tena, hii kwake ina sound kama kunena kwa lugha.
Yaani kama ulikuwepo, mwambie nampa ofa ya maji baridiii, achote bombani anywe.Hapo atoto amekuelewa hatari bila hata ya dictionary
Hahah!
Japo ni kiingereza nimejitahidi nikaelewa maana tokea thread ianze ndio comment ya maana niliyoiona.
Hivi kuna wanaume wamesoma hiyo thread apo? kama wewe umeisoma umejisumbua tu!! ni women hao hata ukisoma hawako hivo alaf bado unaeza usiwaelewe then hata icho kidogo ulichokielewa kinaeza kisikusaidie!! Mimi nilivoona heading tu nikaamua nije ni comment huku kwamba "NI WALE WALE TU".