KUTOKA FACEBOOK:
Edson Kamukara
Tupo hapa central polisi mwandishi wetu Josephat Isango kakamatwa leo asubuhi ofisini,polisi wa makao makuu wanasema wanataka kufanya naye mahojiano ingawa hatujui ni kwa kosa gani maana kosa la gazeti haiwezekani akamatwe mwandishi,kwa sasa wamekwenda...
KUTOKA KWENYE MTANDAO WA MABADILIKO JUU YA 'UTATA' WA MAJINA YA HECHE:
From: heche suguta <hechesuguta29@yahoo.com>
To: "mabadilikotanzania@googlegroups.com" <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
Sent: Wednesday, January 16, 2013 11:40 AM
Subject: Re: [Mabadiliko] UTATA WA JINA LA JOHN...
Moja ya Maneno yake katika Wimbo wa KUPATA MAJALIWA
"..kwa Mungu hauna hisa ila umetunukiwa, nduguyo kuninyanyasa ukae ukielewa hautozikwa na pesa au gari ulilonunua, hizo nyumba za kisasa wapo watakaochukua.."
R. I. P OMARY OMARY
Huyo Mhandisi Stella Manyanya zaidi ya kuwa Mbunge wa Viti maalum CCM na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, je Manyanya ni Naibu Waziri wa wapi!! Zimbabwe kwa Mulugo?
Huyo ndiye Father Salutaris Massawe..
Binafsi nimesoma nae B.A Mass Communication Saint Augustine University of Tanzania SAUT Mwanza Campus 2005/2008.
R. I. P Baba..
Binafsi niliangalia Shindano hilo kwa Miaka Miwili ya kwanza tu halafu nikaachana nalo baada ya kutoridhishwa na uendeshwaji wake (wakati bado ninalifuatilia Shindano hilo nilikuwa pia nawapigia Kura Washiriki niliokuwa nikiona wanafanya vizuri).
Waacheni waendelee kufurahisha nafsi zao huku...
Wewe nakufananisha na Rafiki yangu Mmoja wa utotoni ambaye anaitwa MATA na kuna Siku alinikera kweli nikaamua kumkomoa niliponunua KONI na kuanza kumringishia kwa mbali aje aichukue: "MATA KONI YAAKO NJOO UCHUKUE!!!"
USHAURI WA BURE TU KAMA D KNOB: "ELIMU MITAANI DOT COM MNAIONAJE UUUUAAAA!"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.