I was in Stella Maris Hostel at that day "nikihudhulia semina fulani kuongeza kipato" ilikuwa jioni na no body believed what is happening. kutokujua kuogelea kwa watanzania wengi ni tazizo na tumeona yaliyotokea zanzibar na kwingineko. many of us failed to offer help to him, beach boys nao vimeo, it was very sad kwa kweli