Recent content by ramani

  1. ramani

    Laptop yangu inawaka ila hai display

    Hata yangu ilikuwa hivyo baada ya kushauriwa nifute vumbi kwenye RAM,kwa sasa ina display
  2. ramani

    Je, mabadiliko yanapatikana nje ya CCM?

    njaa kali
  3. ramani

    MBUNGE Mh. Anatropia amjibu Mh. Godluck wa Ulanga

    Anatoa vioja bungeni ili apate umaarufu badala ya kutoa hoja za maana ili ajijenge kwa wapiga kura wake.
  4. ramani

    Kufuga mbwa

    weka picha ya mbwa hao(german
  5. ramani

    Mhandisi Natty afunguka, adai Kinondoni itatikisika

    ufisadi wa mkurugenzi,inamaana baraza la madiwani hawakujua chochote?fmikataba mayor nae anasaini inamaana alikuwa hajui?
  6. ramani

    Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

    bado ana hasira nae tu.
  7. ramani

    Aliyekuwa mbunge wa Sikonge, Said Nkumba abwaga manyanga CCM na kujiunga CHADEMA

    huyu Saidi Nkumba wakimpitisha kugombea ubunge na akipita atakuwa kama Shibuda tu,alivyokuwa anaichamba Chadema mmh
  8. ramani

    Madiwani wawili (2 ) wa TLP Vunjo, watimukia NCCR Mageuzi

    Mrema na Cheyo hawastahili kurudi tena bungeni.
  9. ramani

    Tanzia: Mwandishi wa Habari, Edson Kamukara afariki Dunia kwa ajali ya moto wa gesi

    RIP na leo nimesoma makala yako gazeti la mawio.
Back
Top Bottom