Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, kwa mara ya kwanza tokea tupate Uhuru, manispaa ya Bukoba imepata meya kutoka upinzani ambaye ni Diwani wa Kata ya Kahororo. Kabla ya kuhamia CHADEMA, Chief Kalumuna alikuwa diwani wa Kahororo kupitia CCM.
Chief Kalumuna amemshinda mpinzani wake kwa kupata kura 13 na Almasoud Kalumuna wa CCM kupata kura 10.
Chief Kalumuna amemshinda mpinzani wake kwa kupata kura 13 na Almasoud Kalumuna wa CCM kupata kura 10.