Upinzan co uadui mzee,,mnakinzana kisera,kifikra na kimawazo tu na wala c wa makombora,,,,,nyie mlio chini kisera,kifikra ndo mnaleta uadui usiokuwa wa maan bila kujua kwamba unawaharibia watoto wako na wajukuu zako taifa lao
Ww ndo umeona ivo ila wenye uelewa tushamsoma,,,,,,kama kununua bas cdm watakuwa wamefilisika maan kila kwenye mkutano wa cdm utasikia tumepata wasajil wapya kama 400 toka ccm,,achen ushabik usio na maan yyte
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.