Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
watu wanatokwa mapovu bure hawajaelewa mtoa mada. Hili ni tatizo ikiwa mtu mzima ana uelewa finyu hivi
mpe hi sana kamanda wa polisi wa dar
watu wanatokwa mapovu bure hawajaelewa mtoa mada. Hili ni tatizo ikiwa mtu mzima ana uelewa finyu hivi
No!hazieleweki,ni kama biblia kitabu kisicho na mtiririko wa aina yoyote. Ukisimama na mstari mmoja,wa pili unaukanusha..ukisoma paragraph unakuta mambo mengi yasiyohusiana,ukisoma sura nzima unapotea kabisa.Siasa za Tz inahitaji uwe na akili ndogo kuzielewa otherwise usitake kuzielewa we una flow tu na upepo...
Ila ukitaka kuelewa kila kitu utabaki unaumia
Dah, we dogo unanichekesha sana na slang zako za asteaste!Na huyu Nyalandu ndiyo aliwatoa akili CCM kabisa, kuanzia Kigwa, Sizo mpaka Asteaste!! Wakavunja kibubu na kuingia kwenye KUJUMUA!
American representative ndani ya CC ya CDM. Safi sana. Now, peoples Party wako karibu sana na Trump. Mtajua hapo baadae, nini kunafuata.Mbona ya ccm waliingia hadi wakina Masha? Umeona hivyo tu au!!
Mimi ni baba wa watoto wawili, wa kwanza yupo standard 3, sasa sijui kama kweli Mimi dogo au wewe!Dah, we dogo unanichekesha sana na slang zako za asteaste!
Hongera sana kwa mafanikio ya kuwa na watoto. Lakini kubali wewe utaendelea kuwa dogo maana wa kwangu wawili wapo high school na mmoja grade 7.Mimi ni baba wa watoto wawili, wa kwanza yupo standard 3, sasa sijui kama kweli Mimi dogo au wewe!
Ok, huyu Nyalandu anapokelewa na Naibu Katibu mkuu....protokali inasemaje?Katambi, Nsando, Mwigamba na Kitila walikua kwenye kikao nyeti cha CCM hapo Ikulu kmbe wao ni wajumbe??
Yani sawa kabisa.No!hazieleweki,ni kama biblia kitabu kisicho na mtiririko wa aina yoyote. Ukisimama na mstari mmoja,wa pili unaukanusha..ukisoma paragraph unakuta mambo mengi yasiyohusiana,ukisoma sura nzima unapotea kabisa.
Tanzanian siasa!usizipe moyo zipe macho tu.Yani sawa kabisa.
Kizuri huku kikifanyike kule kibaya, na kibaya kule kikija huku kizuri.
Leo anasifiwa kesho akihama anapondwa na leo anapondwa kesho akija anasifiwa.
Aisee ...
MWENYEKITI WA BARAZA LA VIJANA CHADEMA TAIFA PATROBAS KATAMBI AHAMIA CCMIgwe wanaJF!
Maajabu hayaishi, Chadema sikio la kufa. Ndugu Lazaro Nyalandu amehudhuria kikao cha kamati kuu ya Chadema. Ikumbukwe kikao cha KK hujadili mambo ya juu na ya siri kubwa. Hii ni dalili ya kuwa 'Kamanda' Nyalandu sasa kaingia kunako chungu.
Hongera Nyalandu kwa kuaminiwa mapema ndani ya Chadema.
Picha zinakujia muda mfupi.
An ww ndo huna akili,,,,hatuumii ila tunawashangaa nyie mliemtuhum saiv mmempokea ka mfalme?kwel nmeamin chadema ni sikio la kufa ambalo halickii dawambona ccm mmeumia sana kutoswa?
DUME.Huenda Kaingia kama msikilizaji tu
Subiri uone kama watalamba cheo.....lkn i bet nyalandu mtampa nafasi agombee umakamu wa raisi....kama mlimpa lowassa within hours akiwa hata hajui kusema peoples mtashindwaje kumpa cheo nyalandu...ndo maana nasema kwa kujiamin ...mna njaa...Masha, katambi, mwigamba na Nsando waliingia kwenye kikao cha CCM hapo ikulu kwasababu wana pesa na CCM mna njaa??
Ni kweli mkuu, chama cha mabavu kweli kweli:-Kosa Hapo Lipo Wap Ilihali Alisha Hama Chama Cha Mabavu
Akikujibu nitatembea uchi kutoka hapa Mpanda mpaka Lumumba!Hivi kina Katambi, Kafulila, Msando nao walikuwa wajumbe wa NEC ya Ccm?
Ok, huyu Nyalandu anapokelewa na Naibu Katibu mkuu....protokali inasemaje?
Mm ntatoka gogopoa hadi Dodoma kwa baiskeliAkikujibu nitatembea uchi kutoka hapa Mpanda mpaka Lumumba!