cosmonaut
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,392
- 2,749
Dunia nzima tulikuwa tunLijua hilo,japo kidogo nmesikitishwa na hizo kata 3..... CcM mbele kwA mbele.*SALAMU KUELEKEA 2019&2020*
CCM YATEST MITAMBO......
Katika kata 43 zilizorudia uchaguzi leo tarehe 26/11/2017 kwa matokeo ya mwaka 2015
CCM tulikuwa na kata 20
Chadema walikuwa na kata 20
CUF walikuwa na kata 2
ACT walikuwa na kata 1
Baada ya miaka miwili ya Mhe Rais Dkt Magufuli akiisimamia kwa weledi na kasi kubwa ilani ya uchaguzi ya CCM 2015-2020 watanzania wameamua kumtunuku zawadi kwa kuipa CCM ushindi wa kimbunga wa 93% kwa kupata kata 40/43 huku chadema wakipata 2 na CUF 1.
Hiki ni kipigo cha kikatili sana.....
Asante watanzania kwa kuamua kuiunga mkono CCM na kumuunga mkono Mhe Rais Dkt Magufuli kwa kazi nzuri anayotenda. Ushindi huu ni kielelezo kuwa mnafurahishwa na kazi inayofanyika na mna imani kubwa na mageuzi yaliyofanywa na CCM.
#CCM_MPYA_TANZANIA_MPYA
2020 uchaguzi unaishia kwenye kula za maoni ndani ya CcM watakaopitishwa na ccm tume (NEC) iwaatangazee nakuwaapisha kuwa wadhindi...
WATZ TUMUUNGE TUUNGE MKONO KUNABA MATUMIZI Za siyo ya lazima/YAKIPUMBAVU.
Hapa kazi tU.