Recent content by Rafaty

  1. R

    Watangazaji wa Vipindi vya Michezo Redioni acheni 'Ushamba' kwani Liverpool FC Kufungwa Goli Saba ni ajabu sana? Mnatuboa!

    NA LEO WASEME SASA TUMEPIGA MTU 7 UP NI MWENDO WA BACK TO BACK...WATAELEWA AKINA SHAFII
  2. R

    Ghafla Liverpool imegeuka kuwa binti maringo?

    😂😂😂😂😆😆😆😆😆 TUMEONGOZA KUPATA MAJERUHI WENGI SANA CHANGANYA NA AKINA DALA NA MANE KUPATA CORONA NA TULIFUNGWA NA ASTON VILLA 7-1 LAKINI MPAKA SASA TUNAONGOZA LIGI NA TUNA GD 17 NYINGI ZAIDI YA TIMU ZOTE...WHAT A TEAM LAZIMA MTESEKE SANA NI.BACK TO BACK.....💥💥💥💥
  3. R

    Serikali: Walimu wa Shule za Sekondari na Msingi walioajiriwa ni elfu nane pekee

    Mzee ushawahi kufanya biashara au unatype tu maandishi...nenda kwenye field usifsnye typing tu na guessing
  4. R

    Biashara gani ya mtaji mdogo inafaa kwa wageni Kariakoo?

    Sasa kwanini useme fremu milioni 2 kuendelea??? Na wakati zipo mpk za laki 2...3..4..5..6..7..8 9..kwenda mbele
  5. R

    Biashara gani ya mtaji mdogo inafaa kwa wageni Kariakoo?

    Acheni kukatisha watu tamaa...km hampo kkoo ulizeni
  6. R

    Biashara gani ya mtaji mdogo inafaa kwa wageni Kariakoo?

    Acha uwongo....inategemea na 1.mtaa, 2. Fremu ipoje ndogo au kubwa au kijichochoro...kwsbb kuna mitaa ni millioni mingine laki 8, 7, 6 mpk 5...na vile vifrem vdg unapata mpk laki 2....mimi nipo mtaa wa sikukuu na mchikichi nalipa laki 5 kwa mwezi...
  7. R

    Mfahamu kwa ufupi Donnie Yen

    Story ni Tiger Cage....japo sio kuwa demu alikuwa na mishe za kumuua boyfrnd wake bali ni kuwa kuna pesa ziliibwa zikatupwa mahali na yy icho kisanga kilitokea tu kumkuta akiwa kitaa....
  8. R

    Kuna anaemzidi Dj Murphy kwa kutafsiri season?

    Mtafite Ommy Dj...mkali sana 1.ommy D 2. MASTER DJ 4. MURPHY 6. SIX FINGERS 7.MACK...
  9. R

    Ulikuwa wapi wakati kifo cha Mwalimu Nyerere kimetangazwa?

    Nilikuwa nasoma std 1 Mambo pr. School Lushoto Tanga...
  10. R

    GE2020 Ni Magufuli tena, Ni Samia tena T2020 JPM

    Kwenye ajira acha kuongopa walimu wa Artd still mpk leo wapo mtaani...hao wa science bado wapo wameajiriwa wachache sana.....
  11. R

    Mfahamu kwa ufupi Donnie Yen

    Story haipo ivyo lkn movie inaitwa Tiger cage...
  12. R

    Ulitumia masaa mangapi Mkoa hadi Mkoa kwa gari/bus

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Back
Top Bottom