😂😂😂😂😆😆😆😆😆 TUMEONGOZA KUPATA MAJERUHI WENGI SANA CHANGANYA NA AKINA DALA NA MANE KUPATA CORONA NA TULIFUNGWA NA ASTON VILLA 7-1 LAKINI MPAKA SASA TUNAONGOZA LIGI NA TUNA GD 17 NYINGI ZAIDI YA TIMU ZOTE...WHAT A TEAM LAZIMA MTESEKE SANA NI.BACK TO BACK.....💥💥💥💥
Acha uwongo....inategemea na 1.mtaa, 2. Fremu ipoje ndogo au kubwa au kijichochoro...kwsbb kuna mitaa ni millioni mingine laki 8, 7, 6 mpk 5...na vile vifrem vdg unapata mpk laki 2....mimi nipo mtaa wa sikukuu na mchikichi nalipa laki 5 kwa mwezi...
Story ni Tiger Cage....japo sio kuwa demu alikuwa na mishe za kumuua boyfrnd wake bali ni kuwa kuna pesa ziliibwa zikatupwa mahali na yy icho kisanga kilitokea tu kumkuta akiwa kitaa....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.