Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,406
Kitu lufufu mkandala
Kitu lufufu mkandala
Mkuu yani mm hio sauti yake ndo huwa inanimalizaga kabisaIle lafudhi yake kiswahili cha Kenya sipendi
Nenda kwa Ras Simba ujue hata tuneno tuwili maana kina rufufu duhHuyu Dj namkubali sanaa, anajua anachokifanya.
-Anaepuka matusi kwenye kazi.
-Sauti yake inavutia kusikiliza.
-Anatoa ushauri wa kimaisha anapotafsiri movie
Na mengine mengi.
Binafsi nampa nafasi ya kwanza. Ya pili nampa DJ Afro
hafai hyo jmaaaa n sheeeedaaaaKitu lufufu mkandala
Mtafite Ommy Dj...mkali sanaHuyu Dj namkubali sanaa, anajua anachokifanya.
-Anaepuka matusi kwenye kazi.
-Sauti yake inavutia kusikiliza.
-Anatoa ushauri wa kimaisha anapotafsiri movie
Na mengine mengi.
Binafsi nampa nafasi ya kwanza. Ya pili nampa DJ Afro
Dj Afro ni habari nyingine. Kaangalie ARMOUR OF GOD 1, mle Afro katishaDJ afro angeweza kutafsuri sizon asingepata mpinzani maana kwenye single sijaona wakuvaa viatu vyake mm
😂😂😂 Nimejaribu kuwaelewesha watu kitaa ila bado wanagoma kuelewa🤦🏽♂️Zinaitwa series. Sio season mbuzi nyie
Utaacha lini kuwa mtumwa kwa kushadadia lugha za kigeni... ??? Ajabu kweliSerikali inatakiwa ipige marufuku hizi movie ambazo waswahili wanaingiza sauti zao.
1. Zinakiuka copyrights
2. Nyingi ni pirated, yani zinatolewa copy kwenye vikomputa mitaani serikali haipati kodi
3. Tafsiri nyingi ni za uongo
4. Zunalemaza vijana hususan wanafunzi kujifunza lugha za kigeni
5. Zinapoteza muda wa watanzania kuzalisha mali
6. N.k
Kwa tanzania hakuna kama huyu jamaa japo sio mpenzi wa seasonOmmy dj ni habari nyingine .. wachache sana mmeelewa
Umelazimishwa uziangalie! Nyie ndo wale msiopenda lugha yenu.bure kabisaSerikali inatakiwa ipige marufuku hizi movie ambazo waswahili wanaingiza sauti zao.
1. Zinakiuka copyrights
2. Nyingi ni pirated, yani zinatolewa copy kwenye vikomputa mitaani serikali haipati kodi
3. Tafsiri nyingi ni za uongo
4. Zunalemaza vijana hususan wanafunzi kujifunza lugha za kigeni
5. Zinapoteza muda wa watanzania kuzalisha mali
6. N.k
Huyu iamaa ni mnoma tena m-deadly zaidi hasa akikwingilia pande za Mongolia.Namuelewa sana Dj Afro amigos kimooda!
Hakuna mtu hapa bongo ambaye anafikia hata nusu ya huyo jamaa