Recent content by r20

  1. r20

    Naomba kujua ‘Deed Poll’ ni nini. Nawezaje kubadili majina yangu?

    Mkuu Mabullah96 fauta huu utaratibu, 1. Nenda mahakamani watakuandikia deadpoll au kama unaweza andaa mwenyewe then print(3) kwa legal paper. ghrama ya mahakamani haizidi 15,000/=. i.e. Ukienda kwa advocate gharama inakuwa juu kidogo. 2. Nenda Wizara ya Ardhi kazisajili deadpoll zako(3), gharama...
  2. r20

    Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

    Nimeona CFD nikajua ni "Computational Fluid Dynamics", kumbe ni mambo ya trading and the likes. [emoji16] Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
  3. r20

    Dalili zinazoashiria kuwa umeanza kupigika kimaisha

    1. Kusafiri na mswaki, hahahaha 2.....
  4. r20

    Miezi sita Sasa nasumbuliwa na muwasho sehemu za siri

    Tatizo lako ni PUMBU JERO kwa wale tuliopitia boarding school wameelewa inasababishwa na uchafu pamoja na kubadilisha mazingira (Sehemu za baridi kuja zenye joto i.e. Mbeya kuja Dar). Dawa ndo io apo Terbinafine Cream mi mwenyewe nishawahi kuitumia mkuu ni dawa moja matata sana! Ikikosekana...
  5. r20

    Sub Woofer nzuri ni ipi?

    Kaka tafuta Aborder brand yoyote ile, hawa jamaa sound yao imetulia sana! Utakuja kunishukuru badae.
  6. r20

    Mchikichini: Mtaa wa mateja uliotoa vipanga wengi kielimu Dar na mikoani

    Huyu mtu wa kuitwq Mr. Mtiga Mungu amuweke sana! huyu jamaa ni fundi. Juzi nmekutana na Madesa ya Chalange wa EKU, jamaa amecopy na kupaste ngoma za Mr. Mtiga.
  7. r20

    Album ya Harmonize yafutwa YouTube & Boomplay

    Mkuu hii nakata mchana kweupe! African beuty sio sampling ya They don't care about us. Load... vzr mafile yako mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. r20

    Tukumbushane school mottos

    Look to this Day --Usagara Secondary School Sent using Jamii Forums mobile app
  9. r20

    Umewahi kutana na mwanamke wa hivi?

    Umenikumbusha mbali sana mkuu [emoji23][emoji23] Kuna siku sina hili wala lile na enjoy chapati zangu asee si wakaja Ngedere kuzichukua.. Cafteria ya pale block A CoET Ngedere wanaweza kukuliza [emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. r20

    Cecil Mwambe: Sihitaji mtu anichukulie fomu, nitaenda kuchukua mwenyewe ila tuwe pamoja kwenye kampeni kama mnanikubali

    Kiuhalisia Mbowe anatakiwa aachie madaraka chama kisonge mbele kumekuwa na manung'ununiko ya chini kwa chini na hii sio nzuri. Kinadharia Cecilia hawez pambana na Siasa za upinzani against CCM. Mbowe atafia madarakani pale.
  11. r20

    Breaking News! Waziri wa DARUSO aokolewa kudisco! Walimu wambeba !

    Mechanical Engineering ni mziki mwingine asee
  12. r20

    Daah! Hivi unaanzaje kutongoza

    we utakuwa shabiki wa Arsenal na Yanga Unaturudisha nyuma mkuu
  13. r20

    Watuhumiwa wa biashara kongwe zaidi duniani waanikwa

    wahaya wako vizuri jamn [emoji119]
  14. r20

    Nimelazimishwa kushiriki tendo bila kinga

    We kweli kichwa Tango!
  15. r20

    Vitabu vya muhimu na bei zake kwa kombi ya PCB

    Kwa Physics: Tafuta Notes za Mr. Mtiga ukikosa nunua mapamphlet ya Challange ya EKU yako vzr sana.. ukishasoma izoo notsi Umeshacover S.chand na Nelkon.. ww ni kusolve Roger Man Caster. Kila la kheri Adv sio Lelemama.
Back
Top Bottom