Nimelazimishwa kushiriki tendo bila kinga

Nimelazimishwa kushiriki tendo bila kinga

Wakuu habarini

Nina dem tuna kama miezi mitatu sasa, kipindi cha nyuma alikua akinisisitiza sana kutumia kinga kila tulipokutana kwa ajili ya mgegedo na nilifanya hivo.ila Kwa kipindi cha week moja maelewano yetu hayakua mazuri, jana amekuja geto ili tuyasuluhishe baada ya kumaliza tofauti zetu akataka nimgegede bila kinga nilimkatalia kwani sijamzoea hivo ila alileta fujo nyingi sana akisisitiza anataka dushe limuingilie nyama kwa nyama ikabidi nifanye hivo nimemshambulia peku usiku mzima
Sasa ameondoka kaniacha na mawazo sielewi lengo lake ni nini hasa hadi kukataa kinga
Tayari.mkuu unao
 
Wakuu habarini

Nina dem tuna kama miezi mitatu sasa, kipindi cha nyuma alikua akinisisitiza sana kutumia kinga kila tulipokutana kwa ajili ya mgegedo na nilifanya hivo.ila Kwa kipindi cha week moja maelewano yetu hayakua mazuri, jana amekuja geto ili tuyasuluhishe baada ya kumaliza tofauti zetu akataka nimgegede bila kinga nilimkatalia kwani sijamzoea hivo ila alileta fujo nyingi sana akisisitiza anataka dushe limuingilie nyama kwa nyama ikabidi nifanye hivo nimemshambulia peku usiku mzima
Sasa ameondoka kaniacha na mawazo sielewi lengo lake ni nini hasa hadi kukataa kinga
Kweli we ni Kichwa Tango!
 
Wakuu habarini

Nina dem tuna kama miezi mitatu sasa, kipindi cha nyuma alikua akinisisitiza sana kutumia kinga kila tulipokutana kwa ajili ya mgegedo na nilifanya hivo.ila Kwa kipindi cha week moja maelewano yetu hayakua mazuri, jana amekuja geto ili tuyasuluhishe baada ya kumaliza tofauti zetu akataka nimgegede bila kinga nilimkatalia kwani sijamzoea hivo ila alileta fujo nyingi sana akisisitiza anataka dushe limuingilie nyama kwa nyama ikabidi nifanye hivo nimemshambulia peku usiku mzima
Sasa ameondoka kaniacha na mawazo sielewi lengo lake ni nini hasa hadi kukataa kinga
Usijali mkuu vidonge serikali inatoa bure kabisa hulipii hata mia
 
Aliyekwambia kondom inazuia maambukizi ya ukimwi alikuongopea
HIV still doesn't have a cure and life still doesn't have spares ,

One night stands are not safe , if you must use protection.

Withdraw isn't effective, and you're most likely not ready to be a parent, use protection coz pills are dangerous and abortion is super risky
 
Hizo comments zenu zimemfanya mtoa mada akajinyonge jamani duh!!!! RIP mtoa mada maana sijakuona tena ukijibu....
 
Hapo sio ngoma...
Hio ni mimba umesingiziwa mkuu..

Hapo theory iko hivi.
Mlipokosana alikutana na kijamaa ambacho huwa kinamsumbua kumtongoza kwa mida mrefu..sasa akaamua kukikubalia ili apunguze maumivu ya kugombana na wewe..
Jamaa alipogusa tu mimba ikanasa.
Sasa akaona hilo li jamaa halina future akaona boya ni wewe wa kupewa zigo la mavi.

Akajifanya anataka yaishe akaja kwako ku-negotiate na wewe ukaingia king ukala mzigo kavu bila ndom..
Na mimba ndo inakuwa yako.

Subiri baada ya wiki 3 au mwezi top.
Utaambiwa siku hazionekani!!!
Hahahaha mkuu una uwezo mkubwa wa kuvuluga mahusiano ya watu yaani jinsi ulivyo andika kama ulikuwepo eneo la tukio.
 
Hahahaha mkuu una uwezo mkubwa wa kuvuluga mahusiano ya watu yaani jinsi ulivyo andika kama ulikuwepo eneo la tukio.
Hahaha jamaa kaeleza ukwel kabisa..

Mimi kuna mmoja alifanya hvyo halafu nikamkata maini baada ya tendo nikamwambia natafuta pesa za kwenda hospital kubwa ili nikajitibu niliambiwa siwezi kumzalisha mtu..

Nikitoka huko nitakutafuta tupate hata kabebi ketu[emoji23][emoji23]. Alinywea gafla kumbe kalikua na mimba katoka nayo huko alikotoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom