Recent content by punditt

  1. punditt

    Swali: Nioe au niolewe wapi?

    Naunga mkono hoja,fact bro[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
  2. punditt

    Ushauri, natokaje hapa?

    fanya maamuz ya kiume mkuu#achana nayo hyo, fanya maamuz ya kiume aise ,umwachie chumba # mm mwenyew ni shuhuda wa hilo ,nikafanya maamuz ya kuhama asaiv niko zang na maisha yanaendlea, ni njia nzur sana utakuja kuleta ushuhuda humu[emoji848][emoji848]# msaada zaid chk whasap 0746486376
  3. punditt

    From nowhere nimetumiwa na mke wangu hii text

    Baba, umekwisha hapo huna mke aise ... Tafakari chukua hatua[emoji28][emoji28][emoji28]
  4. punditt

    Mirathi kwa watoto nje ya Ndoa

    Mahakama iko sawa kabisa
  5. punditt

    Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    y [emoji521][emoji530][emoji521][emoji530][emoji306] y gg
  6. punditt

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    huu uzi haunifai ,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  7. punditt

    Kumbe akinawa uso asubuhi ni tofauti na nilivyomuona club

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. punditt

    Alinisaidia wakati nina matatizo ila sasa anaonesha dalili za kunitaka. Ungekuwa wewe ungefanyaje?

    moyo wa mtu kichaka,dada angu me nikushauri tu,huyo jamaa anahitaj muingie kwenye mapenz cha msing we mpigie umwambie ukweli ndo utakuwa huru,vinginevyo ipo siku utanasa kwenye mtege wake
  9. punditt

    Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

    Mkuu me mwaka jana nililima karanga hecta 3,maeneo ya Dodoma niliambulia gunia 7,tu ila sikati tamaa na nimejifunza kutokata tamaa ,ya mungu mengi[emoji23][emoji23]
  10. punditt

    Kuhusu ajira mpya

    omba tu mkuu wala usiogope mungu mkubwa ,unaweza kupata ajira
  11. punditt

    Haki ya nani kwa walichonifanyia NECTA kwenye matokeo yangu ya Form VI siwezi kuwasahau

    Dah, pole mku kubaliana na hali tu maana still bado una nafasi ya kusonga mbele ,una uwezo wa kwenda ku apply diploma kwa kutumia chet cha 4m4 na chuo utafika, maana wapo watu weng wamepotia njia hii wapo makazin
  12. punditt

    NECTA yatangaza matokeo ya Kidato cha Sita kwa mwaka 2020. Ufaulu waongezeka kwa asilimia 0.03

    hongera sn kwa wizara ya Elimu matokeo ni mazuri na yakulizish ,ila wanang mliopiga chini,msikate tamaa zndleen kupambana 1day mtatoboa[emoji40][emoji40]
  13. punditt

    Sijui laki moja yangu imeenda wapi?

    hahaha,ni kigoma mkuu hata me kuna jamaa angu anapendaga ongea hivo
  14. punditt

    Mapenzi na mahusiano ya Vyuoni

    binafsi mm nilitulia na mmoja tyu nimeanza nae mwaka wa pili mpka na maliza mwaka wa tatu nimeish nae kama mke bt nilivokalibia kumaliza nikatemana nae , kama unavojua " mapenzi ya chuo mwisho getini[emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom