fanya maamuz ya kiume mkuu#achana nayo hyo, fanya maamuz ya kiume aise ,umwachie chumba # mm mwenyew ni shuhuda wa hilo ,nikafanya maamuz ya kuhama asaiv niko zang na maisha yanaendlea, ni njia nzur sana utakuja kuleta ushuhuda humu[emoji848][emoji848]# msaada zaid chk whasap 0746486376
moyo wa mtu kichaka,dada angu me nikushauri tu,huyo jamaa anahitaj muingie kwenye mapenz cha msing we mpigie umwambie ukweli ndo utakuwa huru,vinginevyo ipo siku utanasa kwenye mtege wake
Mkuu me mwaka jana nililima karanga hecta 3,maeneo ya Dodoma niliambulia gunia 7,tu ila sikati tamaa na nimejifunza kutokata tamaa ,ya mungu mengi[emoji23][emoji23]
Dah, pole mku kubaliana na hali tu maana still bado una nafasi ya kusonga mbele ,una uwezo wa kwenda ku apply diploma kwa kutumia chet cha 4m4 na chuo utafika, maana wapo watu weng wamepotia njia hii wapo makazin
hongera sn kwa wizara ya Elimu matokeo ni mazuri na yakulizish ,ila wanang mliopiga chini,msikate tamaa zndleen kupambana 1day mtatoboa[emoji40][emoji40]
binafsi mm nilitulia na mmoja tyu nimeanza nae mwaka wa pili mpka na maliza mwaka wa tatu nimeish nae kama mke bt nilivokalibia kumaliza nikatemana nae , kama unavojua " mapenzi ya chuo mwisho getini[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.